U mr yes man wa Ole utamcost kazi yake mwenyewe sidhani kama Ole ataendelea kuwa na matokeo mabovu namna hii sidhani kama shekhe Woodward ataendelea kumvumilia
kwa mujibu wa ratiba mwezi wa december utakuwa ni mgumu sana kwake.
jambo linaloleta matumaini kiupande wetu ni kutokupoteza mechi kubwa yeyote tuliocheza msimu huu.

aston villa + tottenham + man city + everton + wattford
 
Nadhani huyu jamaa amekuwa guaranteed na bodi ya kutofukuzwa

Ukiangalia maamuzi yake kwenye usajili, utagundua kuwa hana haraka ya kufanya vizuri, he is so reluxed
Mimi bado nashikilia msimamo wangu wa toka mwezi june mpaka August kuwa kipindi kile ndiyo kilikuwa defining moment ya Man united ya sasa.

Kosa kubwa la mwalimu wa man united lilikuwa nikutokujua timu yenye hadhi ya man united inahitaji makombe na siyo top four or top six sport.

Mwalimu Ole alishindwa kutambua kuwa alikuwa kwenye ligi ngumu yenye ushindani mkubwa sana na hivyo alihitaji rejuvinationa kubwa sana kwenye kikosi chake.

Pengine Ole pia hakufanya study ya kutosha juu ya quality ya squad yake badala yake akaamua kubahatisha tu kama vile yuko kwenye ligi za mchangani huko Norway.

Matokeo mabovu ya sasa ya man united yanachangiwa na mambo kadhaa.
1 Squad depth kiasi injury ya mchezaji mmoja tu kunaathiri timu nzima na matokeo ya timu nzima, au kuporomoka kwa mchezaji mmoja kiwango basi kunaathiri timu nzima maana hakuna machaguo mengi.

2 wachezaji wengi waliopo kwenye timu kuwa na viwango vibovu mno hasa katika ufundi, ubunifu na nguvu kikosi cha man united katika top six nafikiri ndiyo timu pekee ambayo matokeo yake mengi hayaamuliwi na individual brilliance za wachezaji uwanjani.

3 mbinu hafifu za mwalimu hili sihitaji kutoa maelezo mengi sote tunajua mbinu za mwalimu wetu huyu ni za kubahatisha tu.

4 Uongozi wa united kupwaya sana katika mambo mengi yanayohusu football management.

Kama mambo yataendelea kuwa hivi sidhani kama man united itakuwa title contender kwa miaka mitatu ijayo.
 
Japo matokeo ya mechi za mwishoni yalipaswa kumfanya Ed ajiulize mara mbili mbili, alipaswa kupewa mkataba baada ya msimu kuisha

Kwa Ed/Glazers it was the cheapest option
lakini nyakati zile wengi wetu tuliamini ole anastahili kupewa kandarasi mpya hususani baada ya kubadili matokeo kule paris kwa kutumia kikosi dhaifu.

hata kama ingelikuwa ni wewe ndiyo upo nafasi ya ed woodward jamii ya manchester united ingelikuona ni mpinga maendeleo kama ungelikataa kumpa kandarasi ya kudumu bwana ole.
 
Maguire yupo fiti, Lindelof yupo fiti, Axel yupo fiti, nadhani utakuwa umenielewa

Anapaswa kuwa makini zaidi, kwani wenzake akina Shaw, Lingard (captain wetu leo) na Lee Grant wote wameenda kucheza, ajiulize yeye kwanini kaachwa/kabaki

Isitoshe kuna watoto akina Teden Mengi, Di Shon wanaweza kucheza mpira mkubwa leo jamaa akasahaulika

Hapo bado sijawataja majeruhi Bailly na Rojo (wanaokaribia kupona) na kaka yao Smalling yupo kwa mkopo huko na anakichafua, sioni future ya Jones na inawezekana mechi ya juzi ikawa ya mwisho kwake
kwahiyo Jones anajiandaa na Aston villa
 
Hana ndoto za mafanikio binafsi pengine kufundisha Man united ndiyo ndoto pekee aliyokuwa amebakiza sasa kaitimiza.

Huwezi kutaka kupigania top four halafu ukawa na squad legelege namna hiyo.

Nadhani huyu jamaa amekuwa guaranteed na bodi ya kutofukuzwa

Ukiangalia maamuzi yake kwenye usajili, utagundua kuwa hana haraka ya kufanya vizuri, he is so reluxed
 
Mkuu naona comments zako nyingi sana unamtetea Pogba

Ukweli ni kwamba Pogba anacheza pale kwa kuwa hatuna creative midfielder mwingine, lakini uwezo wa Pogba ni wa kawaida sana (siongelei kupiga visigino na madoido mengine)

Huyu Pogba hamfikii hata Ericksen wa sasa aliyejikatia tamaa
Ndio maana kuna viungo walinzi na viungo washambuliaji/wachezeshaji. Sasa wewe unataka Pogba acheze namba sita? na kwanini akiwa mzima pamoja na unamuita mlingoti lakini hakai benchi?
 
Japo matokeo ya mechi za mwishoni yalipaswa kumfanya Ed ajiulize mara mbili mbili, alipaswa kupewa mkataba baada ya msimu kuisha

Kwa Ed/Glazers it was the cheapest option
ole alipoteza mechi yake ya kwanza ya ligi kuu dhidi ya arsenal mnamo tarehe 10/ 03.
ole alipewa mkataba mpya tarehe 28 /03.

ole alifanya vibaya kuanzia mwezi april tulipofungwa kwa mara nyengine tena na wolves then wakafuata barcelona.
kwa ufupi miezi miwili ya mwisho OGS alishinda mechi moja tu dhidi ya west ham.

mkuu jaalia upo nafasi ya ed woodward,
je ni kweli ungelisubiria hadi mwisho wa msimu kwa kuangazia yale matokeo tulioyapata mwanzoni?
je kama angelifanya vizuri hadi mwisho wa msimu ungelimpa kandarasi mpya?
 
Suala na majeruhi inabidi pia tuilaumu na department ya recruitment

Kuna wachezaji wana historia ya majeruhi toka walipotoka lakini tukawasajili, Bailly, Dalot
Hebu Tu assume ole amepewa target zake zote
1. Hio namba 10 badala ya kucheza lingard ama perreira angekuwa dybala
2. Striker angekuja kama alivyotaka
3. Midfield angekuja pia mechi kama ya Shefield tusimchezeshe perreira midfield.
4. Winga wa kulia.

Je timu yetu ingekuwa wapi sasa hivi.

Niwakumbushe tu mashabiki wenzangu wa Man U matatizo ya msimu uliopita.
1. Timu zilikuwa zinatukimbiza tulikuwa tunashika nafasi ya 18 linapokuja suala la kukimbia uwanjani ila sasa hivi tunakubaliana hili tatizo limetatulika mechi nyingi tunawazidi wapinzani.

2. Tulikuwa na tatizo la beki, sasa hivi hali ime improve zaidi japo bado tatizo lipo hasa upande wa kushoto ila kulia na kati tupo njema.

3. Mishahara mikubwa,

4.umoja wa kitimu, ni nadra sasa hivi kukuta kuna tatizo dressing room, wachezaji wote ni kitu kimoja na unawaona wanakuwa kitimu zaidi.

Hivyo ole anaisuka timu mimi bado nina imani nae na naamini ni mtu sahihi kuwa pale, sababu pekee ambayo nitakubaliana nayo kwamba ole aondoke ni kama Ed ataachia ngazi aje DOF wa michezo na Alete kocha wake atakaefanya kazi, bila Hivyo akiondoka Ole hata aje nani tunarudia tu cycle ya Moyes, LVG, Mou.

Tatizo pekee ambalo naona Ole nae linamshinda ni majeruhi, Toka Moyes atutimulie Jopo letu la wataalamu majeruhi man U ni wengi sana, tumekuwa kama Arsenal.
 
Uamuzi sahihi ilikuwa ni kumpa/kutompa mkataba baada ya msimu kuisha

Angemaliza msimu na matokeo mazuri ningeunga mkono 100% (japo sijakata tamaa naye maana ninaamini ana kitu, kutokana na zile mechi za awali)

Kiujumla naamini Ole sio kocha mbovu kiivyo, tatizo ni Mr. Yes Man na ni kocha anayejali kuwafurahisha akina Ed zaidi kuliko mashabiki. Pia ninaamini kuna makocha wazuri zaidi yake, wanaoweza kutufikisha mbali zaidi
ole alipoteza mechi yake ya kwanza ya ligi kuu dhidi ya arsenal mnamo tarehe 10/ 03.
ole alipewa mkataba mpya tarehe 28 /03.

ole alifanya vibaya kuanzia mwezi april tulipofungwa kwa mara nyengine tena na wolves then wakafuata barcelona.
kwa ufupi miezi miwili ya mwisho OGS alishinda mechi moja tu dhidi ya west ham.

mkuu jaalia upo nafasi ya ed woodward,
je ni kweli ungelisubiria hadi mwisho wa msimu kwa kuangazia yale matokeo tulioyapata mwanzoni?
je kama angelifanya vizuri hadi mwisho wa msimu ungelimpa kandarasi mpya?
 
OGS kama kocha ana matatizo mengi sana na kilichomsaidia kuwepo mpaka leo ni yeye ni Manchester United legend,he was cheap option and he is yes man.We know United imekuwa na average players kutokana na poor structure kwenye usajili but as time go hata hao average players walionekana ni afadhali huko nyuma.Lingard ni mbovu but alikuwa very productive kwa LVG & Mourinho now hafai hata kuwepo kwenye match squad,mpira tunaocheza hauna tofauti na wale makocha waliotimuliwa na stats za matokeo anazopata ni za kufukuzwa

Amekuwa kwenye timu ni almost mwaka now na alienda pre-season na team lakini so far ni ngumu sana hata kujua philosophy yake ni ipi na haijulikani so far anaijengaje hiyo team haya ya wachezaji kutosajiliwa kila kocha post SAF era ameyapitia .Defence ime-improve kidogo kwa kusajili quality players (credit to him) but nilisema one day hata hao wachezaji tutaanza kuwalaumu na tayari tumeshaanza

Another problem ambalo tangu amekuja limetokea ni majeruhi hata wewe umeliona(Pogba,Tuanzebe,Martial,Matic,Dalot na wale wa miaka yote Shaw,Baily,Rojo wameendelea na majeruhi yao
Lvg alikuwa na majeruhi Wengi kuliko hata Ole msimu wa kwanza tulipata majeruhi hadi 39, Even carrick mchezaji ambae alikuwa kila msimu anamaliza mechi zote akawa ni pancha.

Same kwa mourinho kina Baily, Herrera, martial na wengine wengi mechi 1 uwanjani nyengine majeruhi, japo kipindi chake kulikuwa na ka uafadhali fulani ila still ilikuwa ni majanga kwa majeruhi, same kwa ole history inaendelea, hili ni tatizo la muda mrefu lililojichimbia mizizi.

Kuhusu mfumo mimi naamini ole si mjinga kuacha mfumo wake uliompa ushindi mfululizo issue ni kwamba hana wachezaji tena wa kucheza huo mfumo tangu Herrera aondoke. Mfumo wetu wa sasa 4-2-3-1 pia tunaonekana tuna mapengo hasa no 10 na wing ya kulia na striker incase katika wachezaji wetu tunaowategemea mmoja anaumia.

Na philosophy yake mbona inajionyesha mkuu na tactic wise amethibitisha ubora wake against top teams zote msimu huu, chelsea mara 2, Liverpool, Arsenal wote tuliwazidi maarifa kimchezo tatizo letu tunakosa tu uzoefu wa kumaliza mechi tunapoongoza.

Philisophy ya ku press, counter, kupromote academy, kuhakikisha opponents hawatukimbizi zaidi yetu, attitude na discipline kwa wachezaji etc

Na kama unakumbuka mwanzo wa msimu tulikuwa hatufungi magoli mengi ila mechi nyingi kama Norwich, brighton, Europa, sheffield etc tunafunga Goli 3

Tumpe ole muda hata kama hatachukua hayo makombe angalau atajenga timu na Kumtengenezea njia kocha anayekuja.
 
katika ubora wako brother,
hiyo video nitaiangalia japo baadae ili nipate kujifunza zaidi yalio nyuma ya pazia.
acha nijaribu kuchangia hiyo ishu ya right back top player ambaye inasadikika ni thomas mounier na kama itakuwa sipo sahihi naomba unirekebishe kwa mara nyengine tena.

thamani ya wan bissaka ni paundi millioni 50
thamani ya tripper ni paundi millioni 20 kuelekea atletico.
thamani ya thomas mounier inakadiriwa ilikuwa ni 15-30 millioni pound.

kwa fikra zangu mimi zilizojaa udhaifu kwenye dili hili ningeliangalia mambo makuu matatu ambayo ni umri wa mchezaji husika, kiwango chake na thamani yake ya kumnunua.
kwa kuziangalia factors hizo basi thomas mouneir angelifaa zaidi kusajiliwa kuliko trippier au wan bissaka kwa sababu umri wake ni 27, kiwango chake ni bora ukilinganisha na hao wengine na pia thamani yake ni ndogo.

kama matt judge alipuuzia dili la thomas mounier basi kuna uwezekano mkubwa tayari bwana matt alishapelekewa jina rasmi la mchezaji anayehitajika na benchi la ufundi likiongozwa na OGS na si mwengine ni wan bissaka.

kwa dili hili la right back sidhani kama ni sahihi kumuangushia mzigo wa lawama bwana matt judge,
ed na matt wanaifahamu vizuri sana fedha na sidhani kama wangelifanya maamuzi haya ya kulipa 50 millioni badala ya 25 million kwa huduma hiyo hiyo.
Mkuu issue hapo sio kumchagua Right back, issue ni kwamba alipofika spurs alipokelewa na poch then poch akaanza kumueleza malengo yao kifupi wameongea maneno ya kimpira zaidi.

Ila kuja man U hakuna aliemtambua yeye ni nani (japo ana appointment) na maswali aliyoulizwa ni ya kiofisi zaidi kama vile anaajiriwa mhasibu, mfano hapo anamuuliza jina lako nani, timu unayotoka, umecheza mechi ngapi etc ndio maana agent akakasirika na kuondoka.

Na ndio tatizo la kuajiri watu wa bank wahandle mambo ya mpira.
 
Na huu ni uzembe wa Ole
Kuondoka kwa Herrera sio uzembe wa Ole,

kabla ya Ole kupewa kandarasi, kulikuwa hakuna mawasiliano (ya kuongeza mkataba) kati ya Herrera camp na Man u.
Na hili Herrera mwenyewe amelisema .

Ole kaja ,tayari ishakuwa complicated, PSG washaweka donge nono, mazungumzo yakawa magumu.

Hadi hapo utaelewa uzembe ni wa nani.
 
OGS kama kocha ana matatizo mengi sana na kilichomsaidia kuwepo mpaka leo ni yeye ni Manchester United legend,he was cheap option and he is yes man.We know United imekuwa na average players kutokana na poor structure kwenye usajili but as time go hata hao average players walionekana ni afadhali huko nyuma.Lingard ni mbovu but alikuwa very productive kwa LVG & Mourinho now hafai hata kuwepo kwenye match squad,mpira tunaocheza hauna tofauti na wale makocha waliotimuliwa na stats za matokeo anazopata ni za kufukuzwa

Amekuwa kwenye timu ni almost mwaka now na alienda pre-season na team lakini so far ni ngumu sana hata kujua philosophy yake ni ipi na haijulikani so far anaijengaje hiyo team haya ya wachezaji kutosajiliwa kila kocha post SAF era ameyapitia .Defence ime-improve kidogo kwa kusajili quality players (credit to him) but nilisema one day hata hao wachezaji tutaanza kuwalaumu na tayari tumeshaanza

Another problem ambalo tangu amekuja limetokea ni majeruhi hata wewe umeliona(Pogba,Tuanzebe,Martial,Matic,Dalot na wale wa miaka yote Shaw,Baily,Rojo wameendelea na majeruhi yao
Suala la majeruh ni kawaida kabisa , hlo hata hatakiwi kulaumu, makocha wengi wanajua kuelekea katikat ya msimu timu lazima isumbuliwe na majeruh tuu, hvyo replacement hufanyika mapema kwenye usajili, Guardiola ana timu mbili kias kwamba anayeondoka na anayeingia tofaut yake ni ndog Sana, Kwa kocha mzoefu hili linajulikana Sana...Ole sio mzoefu na hajui rafu zilizopo kwenye tasnia ya management....!!! Timu inakabiliwa na tournament karbia nne , utaweza kurun zote ukiwa na mchezaji tegemeo mmoja mmoja kila namba.....???
 
167 Reactions
Reply
Back
Top Bottom