SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,430
- 23,753
Ngoja aje yule mwenzako aanze kukwambia Rashford si kama hivyo mnavyomsema. Bado kinda.Jana Rashford ametia aibu.
Waingereza uchafu mwingi kichwani.
Ngoja aje yule mwenzako aanze kukwambia Rashford si kama hivyo mnavyomsema. Bado kinda.Jana Rashford ametia aibu.
Waingereza uchafu mwingi kichwani.
Striker tegemezi wa timu kubwa.Em ngoja tuone labda akishakua kua atajifunza kufunga magoli..
Mkuu hili si swali. Fred yapasa apewe namba ya kudumu. Ana kitu mguuni huyu jamaa.Fred vs Astana:
1 assist
Most passes (128/136)
Most final third passes (43/49)
Most ball recoveries (15)
Most chances created (3)
2nd most interceptions (3)
Do you think he deserves to start vs West Ham?
Definetly..Fred vs Astana:
1 assist
Most passes (128/136)
Most final third passes (43/49)
Most ball recoveries (15)
Most chances created (3)
2nd most interceptions (3)
Do you think he deserves to start vs West Ham?
Striker tegemezi wa timu kubwa.
Drogba kaanzia kucheza mpira uko kwao Ivory coast tena mchanganj uko ..uyu rashid ni mpira wa academy kabisa ..hamna kijapi mule..
NIKISEMA....."FUTUHI...!WE UNASEMA "NDIO...! NI FUTUHI..."!
2013? Hapo wenyewe umewapendelea, Hadi msimu wa pili wa Mou wapo vibaya, wamekuwa vizuri misimu miwili iliopita, na hakuna guarantee wataendelea kuwa vizuri,Liverpool alikuwa anakosa hadi nafasi ya kushiriki kwa ubovu yaani anapitwa hadi na stoke city ktk hiki kipind cha mpito manchester united hajawah kuwa wa 8 ila liverpool kashika sana kipofu kaanza kuona mwez kuanzia 2013 hata hivyo lipo ukingoni hana muendelezo ukiangalia bench kupo tupu subir wale walev wanaotumia nguv waanze kuchoka mane kaanza kulalamika hapumziki
Nimesema Rashford akifikisha magoli 20 msimu huu naacha shabikia Man Utd na humu siingii.Ngoja aje yule mwenzako aanze kukwambia Rashford si kama hivyo mnavyomsema. Bado kinda.
2013? Hapo wenyewe umewapendelea, Hadi msimu wa pili wa Mou wapo vibaya, wamekuwa vizuri misimu miwili iliopita, na hakuna guarantee wataendelea kuwa vizuri,
Kama msimu uliopita amefikisha 15, msimu huu anafikisha 20 mkuu, unless apate Majeruhi makubwa. Magoli 20 is just 1 goal per 3 match.Nimesema Rashford akifikisha magoli 20 msimu huu naacha shabikia Man Utd na humu siingii.
Hahahahahahahahah Wewe jamaa nilishakwambia Manchester United hii ni kama kikundi cha kulia Msibani kwa sasa kinachopatikan Buguruni kwa Binti Madenge, Eti haka ka upepo kamewapuliza tu na nyie mbona hakawapulizi sasa hako ka upepo.Jamaa wanajitoa ufahamu sana kama liverpool imekuwa timu bora kwa miaka 10 kumbe imeibuka 2017 na bado hamna dalili ya kutamba miaka 10 haka ka upepo kamewapumbaza ukiangalia bech kuna shakir,orig na keita, lalana na milner kwisha hapo sasa utaniambia kuna vipaji? Sema wanabahat timu inajituma na kucheza kwa nguv
Kikombe alichokinywa LFC na Nyumbu mnaenda kukinywa tena zaid ya kile , usijiaminishe sana kua mtarud kwenye ubora wenu labda kina web wazaliwe upyaLiverpool alikuwa anakosa hadi nafasi ya kushiriki kwa ubovu yaani anapitwa hadi na stoke city ktk hiki kipind cha mpito manchester united hajawah kuwa wa 8 ila liverpool kashika sana kipofu kaanza kuona mwez kuanzia 2013 hata hivyo lipo ukingoni hana muendelezo ukiangalia bench kupo tupu subir wale walev wanaotumia nguv waanze kuchoka mane kaanza kulalamika hapumziki
Mbona bench lenu lina jones, valencia, fred, young hujalizungumziaJamaa wanajitoa ufahamu sana kama liverpool imekuwa timu bora kwa miaka 10 kumbe imeibuka 2017 na bado hamna dalili ya kutamba miaka 10 haka ka upepo kamewapumbaza ukiangalia bech kuna shakir,orig na keita, lalana na milner kwisha hapo sasa utaniambia kuna vipaji? Sema wanabahat timu inajituma na kucheza kwa nguv
Nimesema Rashford akifikisha magoli 20 msimu huu naacha shabikia Man Utd na humu siingii.
Kikombe alichokinywa LFC na Nyumbu mnaenda kukinywa tena zaid ya kile , usijiaminishe sana kua mtarud kwenye ubora wenu labda kina web wazaliwe upya
Shaqiri,Origi na Keita hawana vipaji?Jamaa wanajitoa ufahamu sana kama liverpool imekuwa timu bora kwa miaka 10 kumbe imeibuka 2017 na bado hamna dalili ya kutamba miaka 10 haka ka upepo kamewapumbaza ukiangalia bech kuna shakir,orig na keita, lalana na milner kwisha hapo sasa utaniambia kuna vipaji? Sema wanabahat timu inajituma na kucheza kwa nguv