waOLDmoshi
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 879
- 1,746
Sikuizi huwa naingia humu kusema Man United ni timu mbovu ajabu tim haina mipango, mchezaji anapiga pasi ili mradi tu atoe mpira miguu mwake.
Hakuna flow nzuri ya mpira yani ni tim inacheza hovyo hovyo.
Kocha nae kiazi tu ,bora Wolves kuliko Manchester United. Atleast wolves wanashambilia kwa mipango.
Aka katim Astana utasikia kamekutana na tim nyingine kamekula 3 . United tunashinda 1 tena kwa bahati.
Hakuna flow nzuri ya mpira yani ni tim inacheza hovyo hovyo.
Kocha nae kiazi tu ,bora Wolves kuliko Manchester United. Atleast wolves wanashambilia kwa mipango.
Aka katim Astana utasikia kamekutana na tim nyingine kamekula 3 . United tunashinda 1 tena kwa bahati.