radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kikombe alichokinywa LFC na Nyumbu mnaenda kukinywa tena zaid ya kile , usijiaminishe sana kua mtarud kwenye ubora wenu labda kina web wazaliwe upya
Ktk makombe 13 rol uefa na club world cup huko kote na mech zote alikuwa akichezesha web hakika uefa na epl walitupendelea sana kama kila mech ilichezeshwa na web pia liverpool si timu ya kutisha liverpool ni spurs iliyochangamka
