Rashford siyo mfungaji kabisa, atafutiwe position nyingine.
Hao wachezaji hawana tija yeyote.-greenwood mchezaji wa kwanza wa Man UTD mwenye miaka 17 kufunga mashindano ya ulaya.
-wachezaji wa 5 wa academy wamecheza leo, na wa tatu walikuwa bench jumla 8
-kuanzia October 1937 mpaka Leo hii miaka 81 baadae man U hajawahi kucheza mechi bila mchezaji wa academy kuwa kwenye kikosi.
GGMU.
-greenwood mchezaji wa kwanza wa Man UTD mwenye miaka 17 kufunga mashindano ya ulaya.
-wachezaji wa 5 wa academy wamecheza leo, na wa tatu walikuwa bench jumla 8
-kuanzia October 1937 mpaka Leo hii miaka 81 baadae man U hajawahi kucheza mechi bila mchezaji wa academy kuwa kwenye kikosi.
GGMU.
@Penison acha fujoUMEMUONA BROTHER K ??
UNAJUA AMEKUJA NA NINI KATIKA MTAFITI ???
USIKOSE ALHAMIS HII FUTUHI NI SHEEEDA.
Ndio timu yenu ilipofikia. Takataka za kingereza zinashindwa kuondolewa. RIP Man Utd.View attachment 1211171
Timu la vibaka na wala mirungi wa jiji la manchesterSikuizi huwa naingia humu kusema Man United ni timu mbovu ajabu tim haina mipango, mchezaji anapiga pasi ili mradi tu atoe mpira miguu mwake.
Hakuna flow nzuri ya mpira yani ni tim inacheza hovyo hovyo.
Kocha nae kiazi tu ,bora Wolves kuliko Manchester United. Atleast wolves wanashambilia kwa mipango.
Aka katim Astana utasikia kamekutana na tim nyingine kamekula 3 . United tunashinda 1 tena kwa bahati.
Timu anayochezea bao chache kwenye ligi yao kushinda ni tatu.....sikushangaa kabisa genk kula sita wale jamaa ni hatari mno
Nakumbuka nusu fainali walicheza na lyon aiseee ile game waliomba mpira uishe
Jana Rashford ametia aibu.
Naona Lingard nae anaandaliwa kama sio£150,000 basi £180,000 kabisa
you play football with your head, and your legs are there to help you. If you don't use your head, using your feet won't be sufficient.
Why does a player have to chase the ball?
Because he started running too late. You have to pay attention, use your brain and find the right position. If you get to the ball late, it means you chose the wrong position, Bergkamp was never late.
(johan cruff)View attachment 1211947
binadamu ndiye anayekufa lakini maneno yake hayafi.
rashford anatumia zaidi miguu yake kuliko ubongo wake.