Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,505
- 7,465
Makapteni wapi mkuu?Wale ma captain wa liverpool ni wa spain mkuu
EPL baada ya Abramovic na Sheikh Mansour kununua timu upepo ulibadilika , angekuwa Sheikh Mansour amepata kocha mzuri ile ile 2008 ingekuwa balaa
Sasa wale wazawa wa Liverpool waliochukua MaUCL miaka hiyo hata sheria kwenye mpira hazijaongezeka isingekuwa
My point ni kwamba mpira wa leo ambao Investment ni kubwa kwa kubase kwenye uzawa utaishia kulia tu
Maana wakati wenzio wanachukua talents toka Africa,South America na Ulaya wakati huo huo wewe ukiwa unataka wazawa wa pale British isles basi toboa na hao wazawa wako tuone kama utatoboa

