Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mourinho kafika mwisho wake, kama hawezi kuwafunga Sevilla atamfunga nani?

Kiukweli kwa manufaa ya pande zote, Man Utd na Mourinho inabidi mwisho wa msimu mkataba wao uvunjwe

Ni ngumu sana kwa uchezaji huu Man Utd chini ya Mourinho, hii timu kuja ku dominate ligi achana na Champions League; huko ni mbali sana

Kuabzia sasa naunga mkono kufukuzwa jwa Mou

Leo lawama zangu zote kwa kocha tumepoteza hii game kwa ujinga wake hakukuwa na sababu ya kumuingiza pogba sana sana alipaswa atoke Sanchez aingie martial/mata

KUANZIA SASA NAUNGA MKONO MOU KUFUKUZWA.
Shida ilianzia dakika ya 60 baada tu ya Sub ya kwanza Pogba for Fellaini, kila kitu kilivurugika hapa.

Mourinho katutoa UEFA, kuanzia kwenye kupanga kikosi mpaka kwenye uchezaji.

Huyu kocha wetu bure kabisa,,,anyway amevuna alichopanda

Kama hujaona kosa la mourinho hustahili kuoneshwa kosa la mourinho katika mechi ya Leo
Hawahawa Utd Fans subiri mechi na Man City washinde uje uzisikie kauli zao juu ya Mourinho. Oooh baki na statistics zako sisi tunaangalia ubao, mara ooh dogo kamuweka mtu mfukoni Mourinho anainua makinda, mara ooh bingwa wa mbinu za ushindi Nk. Yaani huwa hamueleweki nyie.

Mou toka yupo Chelsea mpira wake ukaanza kueleweka na ndipo alipoanza kuprove failure. wachezaji mnao kocha hamuna, mna msimamizi wa mazoezi. Mimi nasubiri game yenu na City nione kitakachotokea kwa Mou na reaction yenu juu yake.
 
Mkuu radika naomba wewe Na mashabiki wenzio Mupige Tathmini halafu Muniletee Bajeti Yenu ya Msiba ili Niufadhili huu msiba humu ndani.

UNAIKUMBUKA HILE COMMENT YANGU NILIYOKWAMBIA FURAHA YAKO WILL NOT LAST LONGER?
 
Tunatolewa kwa ujinga wa Mourinho

Tushapigwa..Kocha mpumbavu huyu unamtoa Fellaini alikuwa anazunguka uwanja wote unaingiza Pogba!!! Ona anaharibu zaidi anamuingiza Martial huyu mvivu mkubwa...ngoja nikalale

Mourinho Mourinho Jinga
Mourinho Mourinho Jinga

Mourinho Mourinho Jinga

Kiukweli kwa manufaa ya pande zote, Man Utd na Mourinho inabidi mwisho wa msimu mkataba wao uvunjwe

Ni ngumu sana kwa uchezaji huu Man Utd chini ya Mourinho, hii timu kuja ku dominate ligi achana na Champions League; huko ni mbali sana

Huyu kocha wetu bure kabisa,,,anyway amevuna alichopanda

MAN U FOREVER KWA SABAB NAJUA JOSE ATAONDOKA TU IPO SIKU


Hazizidi Siku NNE zilizopita hapahapa Mulimmwagia Misifa Mourinho Kuwa Ni Bonge la Kocha Anaejuwa Kutafuta Ushindi Kwa Mbinu Tofauti na Mukadai Anapotaka Ushindi Huwa Hashindwi Kuupata.

Leo Hii Kawa Mjinga! Mara aondoke! Hivi Ni Kweli Tokea Awali Muliamini Kuwa Mourinho Anaweza Kuwapa Furaha yenye Kuendelea?

TENA KUNA MADOGO HAPA ETI WANADAI MOURINHO AMEWARUDISHIA TIMU KAMA YA SIR FERGUSON!!!! HUKI NI KUMDHALILISHA BABU KWA KUMFANANISHA NA MOURINHO.

Mourinho ana mbinu za kumkamia Chelsea na Liverpool tu basi ambazo akishinda Mechi Hizi Mbili Ndiyo Munamuona Ni Mtu Mjanja Sana.
 
Hawahawa Utd Fans subiri mechi na Man City washinde uje uzisikie kauli zao juu ya Mourinho. Oooh baki na statistics zako sisi tunaangalia ubao, mara ooh dogo kamuweka mtu mfukoni Mourinho anainua makinda, mara ooh bingwa wa mbinu za ushindi Nk. Yaani huwa hamueleweki nyie.

Mou toka yupo Chelsea mpira wake ukaanza kueleweka na ndipo alipoanza kuprove failure. wachezaji mnao kocha hamuna, mna msimamizi wa mazoezi. Mimi nasubiri game yenu na City nione kitakachotokea kwa Mou na reaction yenu juu yake.
Sasa game vs Man City ina nini? Tufungwe,tushinde yale yale. City ni bingwa Man utd atakuwa wa 2,3 au 4.
 
Nadhani Ameshajitokeza Yule Atakae Jump Kwa Furaha!

Ulidhani Mpira Unachezwa Kwenye Media? Washabiki Wengi Wa Timu Hii Walikuwa Blinded Kwa Maneno Yako Haya wakidhani Una Uwezo Kweli.

mou.jpg
 
28166358_10155195801096937_4692560482280182530_n.jpg


Not too bad Sir! I'm taking £500,000 per week, And in return I'm giving them a shit.
 
Wenyewe leo hawataki kuamka.


Walipomfunga Liverpool Walijiona Ndiyo Wana Bonge la Timu la Kupambana popote na Wakajiaminisha Kuwa Mourinho Ni Kocha Asiyeshindwa na lolote.
Kumbe Hawajui Kuwa Hile ilikuwa Ni Derby huwezi ukaifanya Kuwa Ndiyo Kipimo cha Ubora Wa Timu.
 
Hazizidi Siku NNE zilizopita hapahapa Mulimmwagia Misifa Mourinho Kuwa Ni Bonge la Kocha Anaejuwa Kutafuta Ushindi Kwa Mbinu Tofauti na Mukadai Anapotaka Ushindi Huwa Hashindwi Kuupata.

Leo Hii Kawa Mjinga! Mara aondoke! Hivi Ni Kweli Tokea Awali Muliamini Kuwa Mourinho Anaweza Kuwapa Furaha yenye Kuendelea?

TENA KUNA MADOGO HAPA ETI WANADAI MOURINHO AMEWARUDISHIA TIMU KAMA YA SIR FERGUSON!!!! HUKI NI KUMDHALILISHA BABU KWA KUMFANANISHA NA MOURINHO.

Mourinho ana mbinu za kumkamia Chelsea na Liverpool tu basi ambazo akishinda Mechi Hizi Mbili Ndiyo Munamuona Ni Mtu Mjanja Sana.
Acha na wewe kwani mtu akisifiwa kwamba yupo sahihi muda wote mbona kule unampondaga klopp baadae unakula maneno yako kuna post kule ulimponda can baadae ukaanza kumsifu hamna kocha ambae hakosolewi

Jana kazingua sana fellain hajacheza miezi minne jana anaanza ktk mech muhimu mno lingard na rashford wakipangwa pamoja hakikisha kiungo mkabaj yupo timamu bila hivyo maumivu tu

Anapanga timu nzur mech ya chelsea na liverpool mech muhimu anapanga timu ya hovyo sana kikos kilichocheza na liverpool au chelsea ile ndo timu ya ushindan lingard anafanya poa ila hana sifa ya kumuweka bench mata
 
Back
Top Bottom