Keyboard_Warrior
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 6,098
- 10,447
And that's why Manure Utd are out..!Bailly is a Devil
Ahahaaaah..!
And that's why Manure Utd are out..!Bailly is a Devil
Ha ha ha haMourinho katutoa UEFA, kuanzia kwenye kupanga kikosi mpaka kwenye uchezaji.
Ahahaaaaaaaaaaah...Ushindi lazma kipindi cha pili man 2 au 1
Mou ndio mkali wa mechi muhimu kama hii ya leo,atatumia mbinu zote unazojua na usizojua lazma tufike tu

Ukweli mtupuKama uliona na kuchambua game ya Liverpool ungenusa hii ya leo!
Liverpool bao zote mbili KAJIFUNGA kwa makosa ambayo ni ya kipuuzi sana!
Hamna bao lolote la Rashford lililokuwa limetengenezwa
Ukikutana na beki kama Mercado na wenzake ambao makosa ni very rare huwezi shinda!
Man U ya sasa inategemea vitu viwili kushinda
(1)Uhodari wa kipa wake De Gea
(2)Team pinzani ifanye silly mistake(s)
Mnatakiwa sasa mbadirike,mcheze mpira!
Wewe unajua kutabiri...Ushindi lazma kipindi cha pili man 2 au 1
Tulikuwa na mentality ya kulinda zaidi ndo mana akamuanzisha matic na fellain.Mkuu masahihisho: hata kama tumepigwa leo hatukupaki basi
Kila Mwezi mchezaji bora wa club tuzo inaenda kwa Kipa (De gea)Ninachoamini ni kwamba Mournho anatembelea kivuli chake cha zamani ila kiuwezo Wa kufundisha mpira hana jipya kilichobaki ni kubahatisha tu na jitihada za wachezaji. Ktk makocha wote wakubwa duniani Jose ndo anacheza mpira mbovu sana. Timu haina muunganiko Wa kueleweka kati ya kiungo cha kati na safu ya ushambuliaji,tunategemea zaidi mipira ya kupigwa na kipa ndo imfikie mshambuliaji.
Umenena vema nduguKila Mwezi mchezaji bora wa club tuzo inaenda kwa Kipa (De gea)
Inaonyesha ni jinsi gani timu ilivo na idara mbovu ya ulinzi,ushambuliaj na kiungo.
Timu inabebwa na saves za kipa
Wewe shabiki UCHWARA ndio mavi yalikubana zaidi..!Jamaa walimtunza huyu muuaji wao. Wako vizuri. Tunahitaji goli mbili ili tupite. Mou mavi yanambana Leo.
Kumbe ulisitisha mpango wako wa kulala mkuu..!?Wachezaji wala hawana presha kwanza ndo wamerelax kabisa kama tumeshinda vile
Kama nyie mlivyobahatisha game zenu zote dhidi ya Arsenal,Chelsea na Liverpool..!Mkuu mpira umejulia wapi, magoli yale ya kubahatisha wala hao uliowataja hawajaonesha mpira wowote wa maana.
Ahahaaaaaaaaaaah...Leo lawama zangu zote kwa kocha tumepoteza hii game kwa ujinga wake hakukuwa na sababu ya kumuingiza pogba sana sana alipaswa atoke Sanchez aingie martial/mata
Mjipange kukutana na sisi mtaa wa 6 msimu ujaoBad day in the office....timu ijipange kwa msimu ujao.
Mjipange kukutana na sisi mtaa wa 6 msimu ujao
Naona leo unafuraha SANA kuliko siku ambayo Eagles iliifunga Patriots
Nafasi ya 6? mkuu utani huo, huoni huo mlima wa tofauti ya points zilizopo hapo kati ya mtu wa 2 na wa 6
Naona leo mpaka Malafyale kaibuka, kweli Utd inafuatiliwa sana hapa Duniani
*Tofauti ya mtu wa 6 na wa 7 ni points 3, halafu wa 7 yupo vizuri sana