Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu umejua mpira juzi, mechi hizi wanatakiwa watu wagumu. Valencia.Baily.Young.Smalling.Matic.Fellaini.Herera kama angekuwepo. Pogba hawatakiwi watoto hapa ndio maana habari za kina Lindelof. Show huzisikii leo, huyo McTominay kawekwa hapo ushahidi kamwe hataingia leo labda kuwe na majeruhi.
Nilikuwa najiuliza wanaotaka pogba acheze hii game nahisi wameyaona matokeo yake
 
Jamaa walimtunza huyu muuaji wao. Wako vizuri. Tunahitaji goli mbili ili tupite. Mou mavi yanambana Leo.
 
Back
Top Bottom