KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,820
HahahahahaNyie Sevilla hebu wakojoleeni hao mashetani kagoli kamoja mie nizime TV nilale zangu.
HahahahahaNyie Sevilla hebu wakojoleeni hao mashetani kagoli kamoja mie nizime TV nilale zangu.
GloryGlory Glory Manchester United
Lingard anafanya poa ila hana sifa ya kumuweka bench mata
Na kweli tumeshafika jijijni manchester so tugange yajayoMou ndio mkali wa mechi muhimu kama hii ya leo,atatumia mbinu zote unazojua na usizojua lazma tufike tu
Hahahaaaakunya utaendelea kunya maisha yako yote hadi unaingia kaburini,,na wakati ukiendelea kufanya tendo hilo la digestion manchester the reds devils wataendelea kutoa vipigo na makombe watachukua tukianzia leo
Liver na man ni derby??? Au sijui maana ya derby!!!Walipomfunga Liverpool Walijiona Ndiyo Wana Bonge la Timu la Kupambana popote na Wakajiaminisha Kuwa Mourinho Ni Kocha Asiyeshindwa na lolote.
Kumbe Hawajui Kuwa Hile ilikuwa Ni Derby huwezi ukaifanya Kuwa Ndiyo Kipimo cha Ubora Wa Timu.
ThanksLeo Man U wanachezea kichapo kwa Sevilla
Tulia dawa ikuingieMourinho katutoa UEFA, kuanzia kwenye kupanga kikosi mpaka kwenye uchezaji.
Kila siku naumia sana kuona mata anakaa bench mchezaj anaeongoza kwa assist toka mwaka 2014 ni mata ndani ya manchester united mchezaj aliecheza mech kubwa vizur ni mata ndani ya timu yetu fellain hata kuteneneza mpira mmoja hawez lakin anaanza hata kukokota mpira shida sijui kampanga kutibua nini wakat mech tunahitaj ushinduLingard Ni Muingereza lazima awe overrated mbele ya Mata.
Hapo sasaAlafu kuna mtu anatoka huko nanjilinji anasema mou hamna kocha
Ongezea na game ya jana mkuu pleaseManchester United at Old Trafford 17/18:
Played: 20 -
Won: 17 -
Drawn: 2 -
Lost: 1 -
Goals scored: 46 -
Goals conceded: 9 -
Clean-sheets: 13 -
Our fortress. Our theatre of dreams!
We tamba tu kule ueropa siku zako zinahesabika unakimbiaga mwez humu jfNa kweli tumeshafika jijijni manchester so tugange yajayo
Na yenyewe ni epl?Ongezea na game ya jana mkuu please
Kesho nipo ac milan mm na gatuso huwa hatufungw mara mbiliOngezea na game ya jana mkuu please
Hahahaaaaaa timu yangu naijua mkuu so ukiona kimya ni majukumu tu ya kifamilia na kiharakati.........We tamba tu kule ueropa siku zako zinahesabika unakimbiaga mwez humu jf