Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
Manina zake morinyo
Hili zee linaudhi sana
Hili zee linaudhi sana
Walioonesha mpira ni watu gani HahahahaMkuu mpira umejulia wapi, magoli yale ya kubahatisha wala hao uliowataja hawajaonesha mpira wowote wa maana.
Mourinho katutoa UEFA, kuanzia kwenye kupanga kikosi mpaka kwenye uchezaji.
Imeshaisha mkuu...Kocha ana hesabu zake mkuu angalia game bado haijaisha
Walioonesha mpira ni watu gani Hahahaha
Hajui kitu huyu achana naBarnega!! Unamjuwa barnega mkuu??? Acha kabisa,, yule ndiye nguzo pale
Ahsante kwa kuongezea MkuuCorrea umemsahau
Tatizo LA kocha liko wapi mkuu?Huyu kocha wetu bure kabisa,,,anyway amevuna alichopanda
Tafuta kazi nyingine...natabiri man united 3-1 sevilla
Pole eee bro Ila n Raha kwangDaaah
Jamaniii this is so bad
How we are better than Arsenak of we are ousted by Sevilla?
Hii haikubalikiii
Kama hujaona kosa la mourinho hustahili kuoneshwa kosa la mourinho katika mechi ya LeoTatizo LA kocha liko wapi mkuu?
Kulikua na sababu gani zilizofanya fellain kuanza na pogba au mactomney au mata kukaa nje?,,,,pia zile mbinu alizotumia Leo kucheza unazani zilikua nzuri? ,Tatizo LA kocha liko wapi mkuu?
KUANZIA SASA NAUNGA MKONO MOU KUFUKUZWA.
Shida ilianzia dakika ya 60 baada tu ya Sub ya kwanza Pogba for Fellaini, kila kitu kilivurugika hapa.
ungepiga kelele kuigomea sub kama juzi kati mashabiki wa simba walivyoigomea sub ya mavugo kwa kichuya,sasa wewe umeufyata alafu unakuja kupiga kelele huku hiyo ni nidhamu ya woga
