Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Chelsea hawana utamaduni wa ku-promote youth players na sababu nyingine ni viwango vya hao wachezaji.Labda utuambie Scolari,AVB,Ancelotti,Conte walimpromote mchezaji gani ?Ila ni ukweli pia usiopingika kwamba Mou huwa haamini sana vijana Wa kuwaibua toka kwenye youth ranking za vilabu husika anavyofundisha. Na ndio maana inadaiwa Ferguson ndiye aliyemsisitiza na kumshauri sana juu ya kuendelea kukaamini hako ka mc tominay. Angalia Chelsea wachezaj aliojaribu kuwaibua mwisho Wa siku akawatoa kwa mkopo na wengine kuwauza jumla. So Mara nyingi hununua wachezaji ambao tayari wametengenezwa na timu zingine bila kujali umri wao
Scott ni aina ya mchezaji ambao Jose anawataka ndio maana anampa nafasi dogo angekuwa hafanyi kocha anachotaka asingechezeshwa hata kama ni mtoto wa Ferguson/Glazer
Morata,Nacho,Traore,Casemiro,Jesse,Fabinho,Christiansen walipewa chance na Mourinho

