Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

madhara ya kupaki bus mechi ya kwanza yametucost ! valencia mtupu...sahv...! huwezi ukawaacha pogba na mata kwenye game kubwa ukiwategemea watoto lingard na rashford ! na young ndo msnge kabisa huwezi kum2mia ukitaka timu ishambulie...
 
Muda wangu huu..!
Kufukua makaburi..!
Ahahaaaaaaaaaaah...!!!
Asante sana Sevilla kwa kunipa usiku mzuri wa mwaka..!!!
 
Leo lawama zangu zote kwa kocha tumepoteza hii game kwa ujinga wake hakukuwa na sababu ya kumuingiza pogba sana sana alipaswa atoke Sanchez aingie martial/mata
Anaingiza martial na mata dk 80
Anategemea nn et apate gol 3


Kwa dk 10
 
Mkuu masahihisho: hata kama tumepigwa leo hatukupaki basi

Hivi uliangali mechi kweli wewe kipindi cha kwanza chote tulizidiwa ball possession na sevilla, tulikuja kuwazidi baada ya wao kupata goli la kwanza which was too late.


Cheki hizi takwimu za dakika 90
1520977843837.png
 
Poleni ila tantarira nyingi sana ndiyo tatizo lenu,kesho dunia kimya maana mtakuwa mnatembea vichwa chini. Na kama Pep akiendelea kuwepo mjini makombe msahau misimu yote.
 
KUANZIA SASA NAUNGA MKONO MOU KUFUKUZWA.
Shida ilianzia dakika ya 60 baada tu ya Sub ya kwanza Pogba for Fellaini, kila kitu kilivurugika hapa.
 
Back
Top Bottom