Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kiukweli kwa manufaa ya pande zote, Man Utd na Mourinho inabidi mwisho wa msimu mkataba wao uvunjwe

Ni ngumu sana kwa uchezaji huu Man Utd chini ya Mourinho, hii timu kuja ku dominate ligi achana na Champions League; huko ni mbali sana
 
hivi Pogba kaingia kufanya nini??mwenzake alikuwa anacheza mbele au pembeni ya matic yeye muda mwingi nimemuona nyuma ya matic
 
Vitimu vyingine vigwadu sana. Mambo gani haya yakuingiza watu Hasara. Mabilioni yalitumiwa na Mourinho afu mapafu yanatoboka ndani ya Sweet 16. Karibuni Majonzi na Majanga World ya North London
 
Poleni jirani zangu. Duh!!! Tumepoteza team mbili zote. Sijuw kama chelsea atapenya kesho.
 
Back
Top Bottom