Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunashukuru sana kwa moyo wako wa kiungwana

Tungeshukuru zaidi kama na jumamosi iliyopita ungekuja kutufariji pia

Nilitoa pongezi zangu hapa,pitia juu!
Liverpool tulijifunga wenyewe,hakukuwepo na bao la kutengenezwa pale!
Seville hawajafanya makosa yyt ya kiufundi wamewachabanga kwenu
Huwezi tegemea De Gea aupige mrefu,Lukaku apige kichwa kwa kichogo then mfunge!
Inabdi sasa mcheze soka!!
 
Ninachoamini ni kwamba Mournho anatembelea kivuli chake cha zamani ila kiuwezo Wa kufundisha mpira hana jipya kilichobaki ni kubahatisha tu na jitihada za wachezaji. Ktk makocha wote wakubwa duniani Jose ndo anacheza mpira mbovu sana. Timu haina muunganiko Wa kueleweka kati ya kiungo cha kati na safu ya ushambuliaji,tunategemea zaidi mipira ya kupigwa na kipa ndo imfikie mshambuliaji.
Huu uongo sasa
Umezidi sana
 
Nilitoa pongezi zangu hapa,pitia juu!
Liverpool tulijifunga wenyewe,hakukuwepo na bao la kutengenezwa pale!
Seville hawajafanya makosa yyt ya kiufundi wamewachabanga kwenu
Huwezi tegemea De Gea aupige mrefu,Lukaku apige kichwa kwa kichogo then mfunge!
Inabdi sasa mcheze soka!!

Okay.... kama jumamosi ulionekana kwenye hili jukwaa basi itakuwa ni usiku sana, ila hongera kwa kutoa pongezi ya ushindi jumamosi

Hapo kwenye nyekundu ninapata ukakasi kidogo kupaelewa vizuri, maana kabla ya mechi hiyo ulisema hivi

Man United hii haiwezi mfunga Liverpool hata wachezee Tunduru!
Nafasi ya PILI ni ya Liverpool

Sasa sijui hukujua kuna "Liverpool Kujifunga wenyewe"

Dah bado msimamo wako upo vile vile kuhusu nafasi ya pili?
 
Tukubali matokeo, tukubali maoni ya wadau, tuheshimu mawazo ya mashabiki.

GGMU
 
Mkuu umejua mpira juzi, mechi hizi wanatakiwa watu wagumu. Valencia.Baily.Young.Smalling.Matic.Fellaini.Herera kama angekuwepo. Pogba hawatakiwi watoto hapa ndio maana habari za kina Lindelof. Show huzisikii leo, huyo McTominay kawekwa hapo ushahidi kamwe hataingia leo labda kuwe na majeruhi.
Sawa nini amefanya sasa? Mimi mpira sijaanza Leo namjua manywele ni mzito. Kama unasema watoto hawatakiwi rashford na pogba nani mtoto? Na lingard na martial nani mtoto? Fellain anacheza kukaba tu muda wote ngoja apigwe zake bei aondoke
 
Leo tunaua tena...
Nyuma=Valencia,Smalling,Baily, Young
Hapa kati=Mata, Fellaini
Pale mbele=Rashforrrrd,Sanchez,Lingard
Mwisho kabisa=Lukakuuuu


Mumeua na Mumeshazika! Mulizani Mpira unachezwa Kwenye Keyboard?
😀😀😀
 
Tushapigwa..Kocha mpumbavu huyu unamtoa Fellaini alikuwa anazunguka uwanja wote unaingiza Pogba!!! Ona anaharibu zaidi anamuingiza Martial huyu mvivu mkubwa...ngoja nikalale
Rukiwaambia Mou ni msimamizi wa mazoezi huwa mnakuwaga wabishi sana. Sa hivi ndio mnakubali wenyewe
 
Okay.... kama jumamosi ulionekana kwenye hili jukwaa basi itakuwa ni usiku sana, ila hongera kwa kutoa pongezi ya ushindi jumamosi

Hapo kwenye nyekundu ninapata ukakasi kidogo kupaelewa vizuri, maana kabla ya mechi hiyo ulisema hivi



Sasa sijui hukujua kuna "Liverpool Kujifunga wenyewe"

Dah bado msimamo wako upo vile vile kuhusu nafasi ya pili?
Mjaribu mwakani
Kwa sasa nendeni mkajaribu FA ndiyo makombe yenu toka aondoke Babu!
Is there any SAF CURSE?
 
Back
Top Bottom