DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Mm muungwana
Mekuja kuwafariji
Poleni sana
Ndiyo soka!
Tunashukuru sana kwa moyo wako wa kiungwana
Tungeshukuru zaidi kama na jumamosi iliyopita ungekuja kutufariji pia
Mm muungwana
Mekuja kuwafariji
Poleni sana
Ndiyo soka!
Tunashukuru sana kwa moyo wako wa kiungwana
Tungeshukuru zaidi kama na jumamosi iliyopita ungekuja kutufariji pia
Huu uongo sasaNinachoamini ni kwamba Mournho anatembelea kivuli chake cha zamani ila kiuwezo Wa kufundisha mpira hana jipya kilichobaki ni kubahatisha tu na jitihada za wachezaji. Ktk makocha wote wakubwa duniani Jose ndo anacheza mpira mbovu sana. Timu haina muunganiko Wa kueleweka kati ya kiungo cha kati na safu ya ushambuliaji,tunategemea zaidi mipira ya kupigwa na kipa ndo imfikie mshambuliaji.
Nilitoa pongezi zangu hapa,pitia juu!
Liverpool tulijifunga wenyewe,hakukuwepo na bao la kutengenezwa pale!
Seville hawajafanya makosa yyt ya kiufundi wamewachabanga kwenu
Huwezi tegemea De Gea aupige mrefu,Lukaku apige kichwa kwa kichogo then mfunge!
Inabdi sasa mcheze soka!!
Man United hii haiwezi mfunga Liverpool hata wachezee Tunduru!
Nafasi ya PILI ni ya Liverpool




Sawa nini amefanya sasa? Mimi mpira sijaanza Leo namjua manywele ni mzito. Kama unasema watoto hawatakiwi rashford na pogba nani mtoto? Na lingard na martial nani mtoto? Fellain anacheza kukaba tu muda wote ngoja apigwe zake bei aondokeMkuu umejua mpira juzi, mechi hizi wanatakiwa watu wagumu. Valencia.Baily.Young.Smalling.Matic.Fellaini.Herera kama angekuwepo. Pogba hawatakiwi watoto hapa ndio maana habari za kina Lindelof. Show huzisikii leo, huyo McTominay kawekwa hapo ushahidi kamwe hataingia leo labda kuwe na majeruhi.
Ushindi lazma kipindi cha pili man 2 au 1
Achana na huyo jamaa mkuu.anabishana na wazo la kila mtu anaona mawazo yake ndiyo ya maana tu.anaona fellain ndiye mchezaji wa maana sana.Barnega!! Unamjuwa barnega mkuu??? Acha kabisa,, yule ndiye nguzo pale
Kaa kifua mbele ufurahie ushindi wa leo
GGMU
natabiri man united 3-1 sevilla
Kaa kifua mbele ufurahie ushindi wa leo
GGMU
Ushindi lazma kipindi cha pili man 2 au 1
Magoli yetu yatatokea pembeni
Leo tunaua tena...
Nyuma=Valencia,Smalling,Baily, Young
Hapa kati=Mata, Fellaini
Pale mbele=Rashforrrrd,Sanchez,Lingard
Mwisho kabisa=Lukakuuuu
Mkuu ile hamjaotewa. Mmefungwa kihalali kwa wao kujipanga na waliona makosa na ndio maana wakafanya sub.Duh nilihisi tuu hawa jamaa watatuotea kiaina
natabiri man united 3-1 sevilla
Rukiwaambia Mou ni msimamizi wa mazoezi huwa mnakuwaga wabishi sana. Sa hivi ndio mnakubali wenyeweTushapigwa..Kocha mpumbavu huyu unamtoa Fellaini alikuwa anazunguka uwanja wote unaingiza Pogba!!! Ona anaharibu zaidi anamuingiza Martial huyu mvivu mkubwa...ngoja nikalale

Timu inategemea kipa lazma mtolewe tuWayaaaaaaaaaaaaaa Leo hakuna SAVE
Mjaribu mwakaniOkay.... kama jumamosi ulionekana kwenye hili jukwaa basi itakuwa ni usiku sana, ila hongera kwa kutoa pongezi ya ushindi jumamosi
Hapo kwenye nyekundu ninapata ukakasi kidogo kupaelewa vizuri, maana kabla ya mechi hiyo ulisema hivi
Sasa sijui hukujua kuna "Liverpool Kujifunga wenyewe"
Dah bado msimamo wako upo vile vile kuhusu nafasi ya pili?