Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
Bailly is a Devil
Ndo umejua leo?
Mkuu umekuwa Mwepesi sana Wa Kumuuliza Mtu Swali Lisilojibika??
😀 😀😀😀
Mkuu umejua mpira juzi, mechi hizi wanatakiwa watu wagumu. Valencia.Baily.Young.Smalling.Matic.Fellaini.Herera kama angekuwepo. Pogba hawatakiwi watoto hapa ndio maana habari za kina Lindelof. Show huzisikii leo, huyo McTominay kawekwa hapo ushahidi kamwe hataingia leo labda kuwe na majeruhi.Hatuangalii ukubwa wa mwili tunaangalia utandazaji wa soka. Yule dogo yuko njema zaidi
Magoli yetu yatatokea pembeniMkuu umejua mpira juzi, mechi hizi wanatakiwa watu wagumu. Valencia.Baily.Young.Smalling.Matic.Fellaini.Herera kama angekuwepo. Pogba hawatakiwi watoto hapa ndio maana habari za kina Lindelof. Show huzisikii leo, huyo McTominay kawekwa hapo ushahidi kamwe hataingia leo labda kuwe na majeruhi.
Pogba nae hapendi kukaba na siyo kiungo wa kukabaFellain atupishe kidogo, aingie Pogba kiungo kimekufa pale na jamaa ni mzito sana
Hahahahahahaha hao manyumbu unaonaa km wanakupotezeaa mudaa wako wa kulala cyooNyie Sevilla hebu wakojoleeni hao mashetani kagoli kamoja mie nizime TV nilale zangu.