ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
Kweli hii sio ile ilikupiga 8-2Hii sio man united niliyokuwa naifahamu......
Kweli hii sio ile ilikupiga 8-2Hii sio man united niliyokuwa naifahamu......
Kweli mkuuHakuna kitu hapo wamekutana na wasenge sisi tusiokua na kocha.wala hakuna mtu inamuuma leo kufungwa naona wanatoka kama wameshinda vile.
Kuabzia sasa naunga mkono kufukuzwa jwa MouKwa kuanza na benchi la ufundi, identity ya Manchester United imepotea kabisa; Huo ndio ukweli mchungu
hivi Pogba kaingia kufanya nini??mwenzake alikuwa anacheza mbele au pembeni ya matic yeye muda mwingi nimemuona nyuma ya matic
Punguza stres mkuu......ila soma ubaoKweli hii sio ile ilikupiga 8-2
Mkuu masahihisho: hata kama tumepigwa leo hatukupaki basiNikiongea humu Mourinho hajielewi huwa natukanwa na wakina radika and the likes...
Hivi mechi ya leo tena nyumbani kulikuwa na haja ya kupack basi kweli .. Huyu kocha sijui amewahi kupitia JKT mlale kwenye mazoezi ya kuruka visiki vya miashoki, haiwezekani awe na hofu ya kukilinda namna hii.
Game ya Liverpool nayo kipindi cha pili alipack bus kama lipuuzi fulani hivi..
GGMU
Niliwaambia hili ni jinga sana.martial mwehu ,sasa anatoa pasi baada ya kuscore
Wewe unajua kuliko the special one??????ile ni technical substution imefanywa na kochaTushapigwa..Kocha mpumbavu huyu unamtoa Fellaini alikuwa anazunguka uwanja wote unaingiza Pogba!!! Ona anaharibu zaidi anamuingiza Martial huyu mvivu mkubwa...ngoja nikalale
Mkuu mpira umejulia wapi, magoli yale ya kubahatisha wala hao uliowataja hawajaonesha mpira wowote wa maana.Nzonzi + Banega Top class Midfield Aisee Energy + Creativity Dah Top Top class player
Acha povu mkuu lala now ili kesho tuje kuchambua hapa sasa hivi una mipresha usije pata ban bureeeeeeeeeNiliwaambia hili ni jinga sana.