Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukiona hivyo sio msukuma [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yule ni Msubi...muhamiaji kutoka Burundi mwenye Kivuli cha Chatle...hana hata element moja ya kisukuma...nakubali ni washamba sikatai ila suala la ubahiri,,ubinafsi na uchoyo kama alivyo hivyo... sisi hatuko hivyo.
 
iSii yaani na mimi natamani sana kuchangia hizo ishu za kandanda na wachezaji, lakinni sema tu mpira haumo kabisa kwangu, nafahamu madondoo machache sana kwasababu nilikosaga fursa ya kufuatilia haya mambo ajili ya mashule shule na kusoma........🙁🙁🙁🙁🙁🙁
Au unapenda Tamthilia Tetra[emoji4][emoji4]
 
83db16f5d6afae603b755d0cd19a5bb9.jpg

Kuna watu wanachezea maisha
.......
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom