Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Mi mwenyewe nampaga kubwa sana tuSafi sana Great thinker nilijua ni mm mwenyewe ndo nafuatilia ule mpambano kumbe na nyie hamko nyuma
Mi mwenyewe nampaga kubwa sana tuSafi sana Great thinker nilijua ni mm mwenyewe ndo nafuatilia ule mpambano kumbe na nyie hamko nyuma
Nenda kapike hukoKasome post #3 alafu uje kuanzia hapa hapa
Akirudi nitamtapikia usoni..Kimekusikia
Kitarudi kujibu mapigo
![]()
![]()
![]()
........

Ugali kambaleNaenda piga ugali
Baadaye kidogo basi
..........
Aakii Mzee ile kitabu ya KATIBA ipo na page 100+ na veny huw inahusu my Constitutional rights lakin nmeishiaga kusoma tu Dibaj leo nikasomelee Comments za 100k za zpo post 3.? Aiih Hyo muda nitatumia si ni kama Mugabe kukalia kiti ya Urais ya Zimbabwe..Kasome post #3 alafu uje kuanzia hapa hapa
Hadi huruma
Kazoea kugongewa likes na ndio..ndio bila kupingwa
![]()
![]()
![]()
...........
Huyo jamaa...kabugi duh eti kaweka picha yake kabisaDah... Watu kweli jau.
Tupia na linki ya huyo demu

R.I.P SokoineNUKUU NO 3#
Nawasifu wanajeshi wote wa Tanzania kwa uhodari, ushupavu na moyo wao thabiti wa kulinda taifa letu
Nawaomba waendelee kuwa na moyo huo pamoja na kusaidia wakazi wa vijiji vya ujamaa vilivyoko jirani na kambi zao katika mipango yao ya kuzalisha mali
Maneno haya yalisemwa na Edward Sokoine, akiwa waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa, Agosti, 1972
Edward Sokoine alizaliwa Agosti 1,1938 na kufariki Dunia April 12,1984 amewahi kuwa waziri mkuu wa Tanzania
Asante!!Sina la ziada tukutane tena kesho kwa udhamini mnono wa dikteta mussolin, nawatakieni jioni njema
Nakuonaga sanaaaaMi mwenyewe nampaga kubwa sana tu
Wamemshobokea kichiz, halaf binti mwenyewe wa kawaida tu, si kwa shobo zile..
![]()
![]()
![]()



Aakii Mzee ile kitabu ya KATIBA ipo na page 100+ na veny huw inahusu my Constitutional rights lakin nmeishiaga kusoma tu Dibaj leo nikasomelee Comments za 100k za zpo post 3.? Aiih Hyo muda nitatumia si ni kama Mugabe kukalia kiti ya Urais ya Zimbabwe..
anzia hapa hapaaPheeew afadhali umesemaHaya mapicha yasio na swaga upunguze sasa
Hivi huna zile kali kali
Bingwa wa Kubett