Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ijumaa Kuu njema wanajukwaa wote.

Msiokula nyama leo basi msile nyama zote, msichague kuhalalisha na kuharamisha
 
Tumemzoea mwenyekiti Poker huwa anatushtua mara moja moja naye sijui kapotelea wapi siku hizi!
......itakuwa kakamatwa na jamaa wa TRA au Latra ha ahahahaaha.

Hivi kwenye hii pasaka, wasaliti wanakutana leo au matokeo ya kumsaliti Yesuy tunayakumbuka leo!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom