Tafuta timuNiko poa sana kqani sina magaba na timu yoyote
Poa poaUsiku mwema wote
Kumbe mida imeendaUsiku mwema wote
Hahahahaaaaaaa😀😀😀😀😛😛😛😛😛😛Kumbe nisipokuwepo ndo huwa mnapiga umbea wa namna hii...!
Hakika wanaume tumebaki wachache
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sawa...!Shukrani sana, tutajitahidi kuifanya kf ing'are zaidi na zaidi, na iwe mfano kwa majukwaa mengine![]()
![]()
Nawe pia
Usiku mwema nanyi piaUsiku mwema family
Ucku mwemaa
KaribuMambo vipi makapuku,
Nimepamic home
Nko social zaidiHuu ni uchochezi wa hali ya juu![]()
![]()
Sawa....!Tujifunze mkuu wangu
Niko mbali na nyumban, ndo mana nashindwa kuzileta...Stori kama zako zile nk
Nmeshakujibu tayari,nko mombasaTupiamo mariwaya
Nipo....!Upo kikofia
Siyo kila nikisemacho, basi niko serious.. nna watoto wawili now, niko hapa kwa ajili ya kufurahisha siyo kila ukionacho kipo sahihiHahahahaaaaaaa😀😀😀😀😛😛😛😛😛😛
We si ulikuwa kwa kile kidemu, afu nashangaa kimekutema...hahahaha, umekesha nacho siku nzima ila umeambulia patupu....una uanaume gani wewe???😛😛😛😛😛🙁🙁
nimecheka sana iSeeee

