Makapuku Forum

Makapuku Forum

83db16f5d6afae603b755d0cd19a5bb9.jpg

Kuna watu wanachezea maisha
.......
 
Habari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.

Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.

Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku Bitoz shukrani kwake

Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.

Karibu sana

Bitoz
JF Makapuku Founder

Jimena
JF Makapuku assistant Founder

Th Name JF Makapuku assistant Founder
Nilikua nasearch hyo picha ya jamaa alopgwa kaa mwizi afu jamaa amepga nae picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom