Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
NUKUU NO 4#
Serikali hii kwa kusudi lolote haiwezi kuuza uhuru wa jamhuri
Siasa yetu niya kutotegemea upande wowote katika haya magombano ya ulimwengu ambayo hayatuhusu.
Ikiwa taifa lolote linatumia Msaada wanaotupa kama msingi kwa kutuingilia katika mambo yetu tutakataa Msaada huo.
Maneno haya yalipata kutamkwa na Mwalimu Julius Nyerere, Mei, 1964
Julius Nyerere alizaliwa April 13, 1922 na kufariki Dunia Oct 14,1999
Mmoja kati ya viongozi bora duniani fahari ya Tanzania
...........