Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Akauze mapapaiUwezo umepungua huyoo
Awe anayauzia golini
..........
Akauze mapapaiUwezo umepungua huyoo
Kwa hakika umenena vyema......Ila utaweza kuzuiliwa biashara zako kama ukiwa mchoziKazi cjaajiriwa bali nimeajiri, cna haja ya kuogopa, yote maisha
Akauze mapapai
Awe anayauzia golini
![]()
![]()
![]()
..........
muache aendelee kuokota hela za madafu
Mtaji wangu ni akili, hata nifukuzwe nchini popote nitakapoishi nilicho nacho ni ajira yangu ntakitumia popote hata iwe burundi.Kwa hakika umenena vyema......Ila utaweza kuzuiliwa biashara zako kama ukiwa mchozi
Huwa inatokea mara moja mojaAnaenda kujifungua akiwa anaendesha bike au!!!
AisiiHuwa inatokea mara moja moja
Sawa mkuu.....hapo umenipa mwangazaMtaji wangu ni akili, hata nifukuzwe nchini popote nitakapoishi nilicho nacho ni ajira yangu ntakitumia popote hata iwe burundi.
Woga sinaga mkuu
Kachoka, Lukaku ashamaliza kazi
I seeAisii
Nan tena huyoo
I cI see
iSii yaani na mimi natamani sana kuchangia hizo ishu za kandanda na wachezaji, lakinni sema tu mpira haumo kabisa kwangu, nafahamu madondoo machache sana kwasababu nilikosaga fursa ya kufuatilia haya mambo ajili ya mashule shule na kusoma........🙁🙁🙁🙁🙁🙁
Nimeachaga kuwa mshabiki wa kweli nilijigundua nina hisia kali, hivyo nilikuaga naumia sana tukifungwaiSii yaani na mimi natamani sana kuchangia hizo ishu za kandanda na wachezaji, lakinni sema tu mpira haumo kabisa kwangu, nafahamu madondoo machache sana kwasababu nilikosaga fursa ya kufuatilia haya mambo ajili ya mashule shule na kusoma........🙁🙁🙁🙁🙁🙁
Hatric Lukaku