Kasome post # 3Hivi makapuku forum ndio nini???
PoaaKasome post # 3
................
Haya mapicha yasio na swaga upunguze sasa
Nimekuelewa Mkuu.....je naweza kukaribia humuu???Kasome post # 3
................
Karibu sanaNimekuelewa Mkuu.....je naweza kukaribia humuu???
YeahhhhhNimekuelewa Mkuu.....je naweza kukaribia humuu???
Hahahahahaaaa.......DuhHivi makapuku forum ndio nini???
Haahahahaaa.... Galery yake imejaa anakuja kuziweka ktk servers za kf mpaka atakapopata memory kadi nyingine ndipo atazifutaHaya mapicha yasio na swaga upunguze sasa
Hivi huna zile kali kali
Hata mimi yananikeraHaahahahaaa.... Galery yake imejaa anakuja kuziweka ktk servers za kf mpaka atakapopata memory kadi nyingine ndipo atazifuta
Kumbe we ndio msemaji wake??Haahahahaaa.... Galery yake imejaa anakuja kuziweka ktk servers za kf mpaka atakapopata memory kadi nyingine ndipo atazifuta
Utamuweza jonax kila post anajibu kwa lisokwe, au watu wasioelewekaHata mimi yananikera
Duuuh yamezidi......too much is harmful
Kila ukiingia KF unakutana na manyani
Utafikiri kundi la manyani bhana na mapicha ya kutishanatishana
![]()
![]()
...........
Oooh hapana mimi sio, Itakuwa na kwasababu Nimesahau kuanza na neno ''nafikiri.......''Kumbe we ndio msemaji wake??
Aisee sio poa
Hii imekaa poa sanaAisee sio poa
Tufanye swaga ambazo haziwezi kuwakwaza watu.......Hapa tunaondoa stress sio kupeana stress au kutishana.
Tunarekebishana kiungwana bila kugombana
Nafikiri ujumbe umemfikia kwahiyo potezea tupige stori zingine
............
Si unajua wote ni wamojaHii imekaa poa sana
Bitoz nimekuunga mkono, mara nyingine watu wanatupia vitu vya mzaha kila post, mtu ukakosa la kuchangia unapita kimyakimya.Si unajua wote ni wamoja
Tunarekebishana inapobidi
KF inafuatiliwa na watu wengi(wamesubscribe)
Haipendezi kuwakwaza watu bila sababu
..............
Hata ww siku hizi nakuona upo poa sio km zamaniBitoz nimekuunga mkono, mara nyingine watu wanatupia vitu vya mzaha kila post, mtu ukakosa la kuchangia unapita kimyakimya.
Hapa umenifunza kitu sio kwa jonax tu hata mimi nimejifunza kitu kuwa sio kila wakati unafaa kwa mzaha...thanx
Nadhani atajirekebisha sasa maana kumbe wengi hazitufurahishiAisee sio poa
Tufanye swaga ambazo haziwezi kuwakwaza watu.......Hapa tunaondoa stress sio kupeana stress au kutishana.
Tunarekebishana kiungwana bila kugombana
Nafikiri ujumbe umemfikia kwahiyo potezea tupige stori zingine
............