Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Mimi nna kipaji cha ugunduziUmejuaje??![]()
![]()
![]()
Mimi nna kipaji cha ugunduziUmejuaje??![]()
![]()
![]()
Unaadimika sana siku hiziNipo jirani yangu
Naweza mbona tena masafa marefu sanaUnaweza kuendesha wewe???
Ukiona hivyo umewakimbiza sanaNaona wenyeji wamerudi...nadhani mlioanza nao KF
Hapana......kuna namna hapoooMimi nna kipaji cha ugunduzi
.. Nikashuka baada ya kufika si ndo Nikute jamaa ako na Ndoo imejaa Mahind za kuchemsha aiih nikajua anauza, Si ndo akaniambia hzo Mahind anapita akitafuna huku anatafuta Job
Eeh tz my hom..Bac itaidi tukupe kwenye mashindano ya OlympicNaweza mbona tena masafa marefu sana
Hamna bhaana nikupe sababu ya kuhisi wewe ni mnyaki?Hapana......kuna namna hapooo
Wewe ni Mkenya. Period sio kwa lafudhi hiyoMy routine leo since Morning hapa Bongo wazee.. Nikiw kwa Bus naend Job hapo Tao, Nikaskia Mtoi akiambia mama yake eti "Mama tunaenda wapi na hatujaa Oga.?" Aiih si kicheko hyo.. Nikashuka baada ya kufika si ndo Nikute jamaa ako na Ndoo imejaa Mahind za kuchemsha aiih nikajua anauza, Si ndo akaniambia hzo Mahind anapita akitafuna huku anatafuta Job
![]()
Eeh tz my hom..
Mbaya zaid nmepiga story Mob na Mdosi after hapo akaniambia "tutaongea" sas hii ndio imenimalza kwan tym yote hiyo tulikuw Tunalia.?
Ndio nipe sababu MkuuHamna bhaana nikupe sababu ya kuhisi wewe ni mnyaki?
Ntashukuru!!Bac itaidi tukupe kwenye mashindano ya Olympic
Am Tanzanian bt ile kukulia KE nayo imeathiri UlimiWewe ni Mkenya. Period sio kwa lafudhi hiyo
najitahid mostly kuongea na kuandik normal bt duh.. Nmeishi for 25 years in KEWell.....nimechukua "Sa" nikatoa hiyo "Ca" ya katikati maana sikuona kama inaleta jina au maana halisi nikastick na "Jo" ya mwisho ambayo nikapata "Sajo" na kwa kirefu ni Lusajo na hawa watu ni wanyaki.Ndio nipe sababu Mkuu


CC: Sacajo umeona nilivyo mgunduzi eeh?!Am Tanzanian bt ile kukulia KE nayo imeathiri Ulimi![]()
najitahid mostly kuongea na kuandik normal bt duh.. Nmeishi for 25 years in KE


Usijari Kapuku...peace tuAm Tanzanian bt ile kukulia KE nayo imeathiri Ulimi![]()
najitahid mostly kuongea na kuandik normal bt duh.. Nmeishi for 25 years in KE
Pabaya wapi wewe, wakati hapo ni paradize![]()
![]()
hiyo mambo isijenipeleka pabayaa
![]()
![]()
![]()

Eeh ugunduzi nayoCC: Sacajo umeona nilivyo mgunduzi eeh?!![]()

Well.....nimechukua "Sa" nikatoa hiyo "Ca" ya katikati maana sikuona kama inaleta jina au maana halisi nikastick na "Jo" ya mwisho ambayo nikapata "Sajo" na kwa kirefu ni Lusajo na hawa watu ni wanyaki.![]()
umenifurahisha mkuu......ila hapo kwenye jina umekosea....hilo jina lina maana sana sema we kwako ni genii.......nadhan me ni mtu wa kwanza kuwa na jina kama hili