Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Basi unamwonya papa hapa biashara inaishaPM niliachaga siku nyingi kuwa fuata watu.....labda wao wanifuate
![]()
![]()
![]()
........
Basi unamwonya papa hapa biashara inaishaPM niliachaga siku nyingi kuwa fuata watu.....labda wao wanifuate
![]()
![]()
![]()
........
Poa, mimi pia nafuatiliaNafuatilia na nitaleta matokeo + picha
.......
Bila maneno ya kashfaBasi unamwonya papa hapa biashara inaisha
Poa poaBila maneno ya kashfa
![]()
![]()
![]()
..............
Shukrani sana, tutajitahidi kuifanya kf ing'are zaidi na zaidi, na iwe mfano kwa majukwaa mengineSi unajua wote ni wamoja
Tunarekebishana inapobidi
KF inafuatiliwa na watu wengi(wamesubscribe)
Haipendezi kuwakwaza watu bila sababu
..............

Ongeza umakinj sasaMimi ndio nimejua leo
Enzi zake wahujumu uxhumi walimwaga sukari mtoni ikawa ukilamba maji full sukariKwa kweli, mara nyingine twaona kama Muumba hatendi haki lakini ndo hivyo hatuwezi kuhoji.
Huyu jamaa angemaluza muhula wake angewanyoosha wengi kwani hakuwa na mzaha kama wasasa
Life is not fairSijui kwani watu wema na wanaolitakia taifa mema hawadumu
Kuna mdenishi mmoja alikuwepo enzi zake akiwa afisa wa DANIDA kule Ngono river..bukoba, alishuhudia akina KUGI'S wale wahindi walikuwa wanachoma dollar moto kwa kuhofia mkono wa jamaa..na wengine walikuwa wakimwomba akawahifadhie nchini mwake.Enzi zake wahujumu uxhumi walimwaga sukari mtoni ikawa ukilamba maji full sukari
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
SometimesLife is not fair
Malipo ni hapa hapa duniani na pia inabidi tukumbuke kuwa vifo vingine vimetokana na uzembe, chuki binafsi nkKwa kweli, mara nyingine twaona kama Muumba hatendi haki lakini ndo hivyo hatuwezi kuhoji.
Huyu jamaa angemaluza muhula wake angewanyoosha wengi kwani hakuwa na mzaha kama wasasa
NotedShukrani sana, tutajitahidi kuifanya kf ing'are zaidi na zaidi, na iwe mfano kwa majukwaa mengine![]()
![]()
Ndo tofauti ya Masai na MsukumaKuna mdenishi mmoja alikuwepo enzi zake akiwa afisa wa DANIDA kule Ngono river..bukoba, alishuhudia akina KUGI'S wale wahindi walikuwa wanachoma dollar moto kwa kuhofia mkono wa jamaa..na wengine walikuwa wakimwomba akawahifadhie nchini mwake.
Hakuwa na utani...mzee wa chattle tatizo anajikanganya sana japo anataka kufuata nyayo lakini anapwaya
Ugali unachelewasha akili kupevuka, tofauti na maziwaNdo tofauti ya Masai na Msukuma
Masai anatumia akili halafu anajipanga
Msukuma anatumia mikwara na kukurupuka
![]()
![]()
![]()
.............

Wamasai wajanja hata mjini wanasumbuaUgali unachelewasha akili kupevuka, tofauti na maziwa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Japo mmasai na msukuma woye ni washamba, tofauti yao mmasai akielimishwa huelimika tofauti na ndg zangu ni wabishi na hubadilika taratiiibu, japo nao wana upande chanya ni wakarimu wa asili...japo sielewi kwanini mheshimiwa ni bahili hiviWamasai wajanja hata mjini wanasumbua
![]()
![]()
![]()
..........
Kila nikigundua mtu ni Msukuma nacheka kimoyomoyoJapo mmasai na msukuma woye ni washamba, tofauti yao mmasai akielimishwa huelimika tofauti na ndg zangu ni wabishi na hubadilika taratiiibu, japo nao wana upande chanya ni wakarimu wa asili...japo sielewi kwanini mheshimiwa ni bahili hivi
Kila nikigundua mtu ni Msukuma nacheka kimoyomoyo
Wasukuma wana matatizo mengi kinoma
Itabidi wabishane na ng'ombe zao
![]()
![]()
![]()
...........
Bora Wanyaki kuliko Wasukuma![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuchukuliani ni muhimu bitoz,
Makabila yetu yana matatizo mengi sana japo tunatofautiana sana