Hebu tutoke huko kidogo tutaleta mgogoro humuBora Wanyaki kuliko Wasukuma
![]()
![]()
![]()
.........
Wasukuma oyeeeeeeeeHebu tutoke huko kidogo tutaleta mgogoro humu![]()
![]()
Cc sweetiepie
Wasukuma oyeeeeeeee
![]()
![]()
![]()
![]()
................

Ukiona hivyo sio msukumaJapo mmasai na msukuma woye ni washamba, tofauti yao mmasai akielimishwa huelimika tofauti na ndg zangu ni wabishi na hubadilika taratiiibu, japo nao wana upande chanya ni wakarimu wa asili...japo sielewi kwanini mheshimiwa ni bahili hivi

Naskiaga ni crossUkiona hivyo sio msukuma![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Haaaahaaaa bitoz buanaKila nikigundua mtu ni Msukuma nacheka kimoyomoyo
Wasukuma wana matatizo mengi kinoma
Itabidi wabishane na ng'ombe zao
![]()
![]()
![]()
...........
Kauli Za kichochezi hizii
Wachoche nao ni watu, karibuKauli Za kichochezi hizii
Lakini nadhan unaelewa kinachotokea ukiwa mchochezWachoche nao ni watu, karibu
Uzuri wao hata mwanamke awe mjamzito karibu na kujifungua yeye anapiga kazi tu
Imani inatakiwa kuchochewa, moto huchochewa na wachozi hupigwa na moshi na joto sometimes, lazima tukubaliabe na matokeo ya uchocheziLakini nadhan unaelewa kinachotokea ukiwa mchochez
Anaenda kujifungua akiwa anaendesha bike au!!!Uzuri wao hata mwanamke awe mjamzito karibu na kujifungua yeye anapiga kazi tu
Kweli mkuu......Ila me ctaki kuwa mchozi nisije kukosa kaz bureeeImani inatakiwa kuchochewa, moto huchochewa na wachozi hupigwa na moshi na joto sometimes, lazima tukubaliabe na matokeo ya uchochezi
Kazi cjaajiriwa bali nimeajiri, cna haja ya kuogopa, yote maishaKweli mkuu......Ila me ctaki kuwa mchozi nisije kukosa kaz bureee
Uwezo umepungua huyoo