Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lol! Kind like bank overdraft, nimeipenda but shida ni baadhi kusongesha zaidi ukitumiwa afukumi wanakata afusita uliyosongesha.

NB. Wakati kwenye overdraft hakuna interest, songesha nadhani wanatoza riba fulani.

Maslahi: sijaqualify kusongesha

Kwanini afukumi na afusita lakini OBE?

Aki!!!! You can take a man out of the village, but you cannot take the village out of Him..."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom