Makapuku Forum

Makapuku Forum

Dah! Na leo alicho nifanyia namtazama tu.. Kaniambia nimpe lift, nimejipinda nimeenda na kirikuu changu nimeweka na wese la buku ten, kanikalisha masaa matatu pale nje ya ofisi naota joto tu.. badae nikaona anatoka na Lexus LX 570.. yaani ila fresh tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unabadilisha maneno siyo?
 
Lol! Kind like bank overdraft, nimeipenda but shida ni baadhi kusongesha zaidi ukitumiwa afukumi wanakata afusita uliyosongesha.

NB. Wakati kwenye overdraft hakuna interest, songesha nadhani wanatoza riba fulani.

Maslahi: sijaqualify kusongesha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini afukumi na afusita lakini OBE?

Aki!!!! You can take a man out of the village, but you cannot take the village out of Him..."
 
Haha watu wanakujaza unajua wanakukubali kumbe wenzio wanakuchora tu

Ni either wakikusifia uwalie buyu au uamue kujitoa tu ufahamu kwamba wakikusifia unafurahia tu kinafiki ili muende sawa ila moyoni unajua kabisa wanakuzunguka

Lakini ukijifanya unawaamini imekula kwako
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Back
Top Bottom