Karibuu mtu wa kufungaMoses phiri ni mnyamaaaaView attachment 2262342
Wasimpige misumaliHabari mnayooooView attachment 2262344
kumbe ulikua unanichora shangazi,dah,nimekubaliSasa je we mzee ukisifiwa na watu uwe kimya tu wajibu asante
hahahahaha,ok,kumbe ulinijaza nikajaa ,hahahbha dah.okSasa je we mzee ukisifiwa na watu uwe kimya tu wajibu asante
Nimehamia More nilikirimiwa vizuri sana 😃😃😃 ingawa hana kaffee na pia nashukuru nimeacha kutumia siku hizi , Kanjibai msumbufu hata kutuona ofisiniHahaa we tuchote tu hapa
Hivi siku hizi ndiyo umeacha kabisa kwenda kwenye kile kijiwe chako cha kishua
Au ushahama kule
hahahahahaWe mzee nini jamani
Asante kwa salam aunt yangu. Nimeamka salama kabisa hofu kwako. Nakusalimia na kukutakia siku njemaBinamu nakusalimia
Nimehamia More nilikirimiwa vizuri sana 😃😃😃 ingawa hana kaffee.. siku hizi kwa wiki naenda hata mala tatu huko.. Kanjibai msumbufu hata kutuona ofisini
😃😃😃😃😃😃 Tanzania ni huru, kiwanja yoyote tu anaingia hata masai asie na nguo ya ndaniView attachment 2262373
Kanjibai msumbufu. Hicho kiwanja hata wa mikoani wanaruhusiwa wakija wameoga!?
Auntie ushindwe kwa jina la Yesu hivi nini unanitafuta





Ebu ukoooo




Wooooi!! Hii mbaya sasa, wanakataje hela sasa na waonitolee wapi hela ikiingia kwenye mpesa wanakata juu kwa juu






Ni nyie ndio mnanichosha kwakweli.Sio uzee sema hutakagi kijichosha kabisa
Mna dhambi nyingi auntie!!Sasa wengine hawajui ukisifiwa unalipuka tu unaona sawa tu kumbe nyuma ya kisogo watu wanakung'ong'a
Lol! Kind like bank overdraft, nimeipenda but shida ni baadhi kusongesha zaidi ukitumiwa afukumi wanakata afusita uliyosongesha.Wooooi!! Hii mbaya sasa, wanakataje hela sasa na wao
Waweke utaratibu tuwe tunapeleka marejesho voda shop![]()
Kumbe kuna riba!! Hiyo overdraft ndio nini?Lol! Kind like bank overdraft, nimeipenda but shida ni baadhi kusongesha zaidi ukitumiwa afukumi wanakata afusita uliyosongesha.
NB. Wakati kwenye overdraft hakuna interest, songesha nadhani wanatoza riba fulani.
Maslahi: sijaqualify kusongesha