Makapuku Forum

Makapuku Forum

Moses phiri ni mnyamaaaa
Screenshot_20220616-061702_Instagram%20Lite.jpg
 
Wooooi!! Hii mbaya sasa, wanakataje hela sasa na wao[emoji134][emoji134][emoji134]
Waweke utaratibu tuwe tunapeleka marejesho voda shop[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lol! Kind like bank overdraft, nimeipenda but shida ni baadhi kusongesha zaidi ukitumiwa afukumi wanakata afusita uliyosongesha.

NB. Wakati kwenye overdraft hakuna interest, songesha nadhani wanatoza riba fulani.

Maslahi: sijaqualify kusongesha
 
Back
Top Bottom