Makapuku Forum

Makapuku Forum

Moses phiri ni mnyamaaaa
Screenshot_20220616-061702_Instagram%20Lite.jpg
 
Wooooi!! Hii mbaya sasa, wanakataje hela sasa na wao
Waweke utaratibu tuwe tunapeleka marejesho voda shop
Lol! Kind like bank overdraft, nimeipenda but shida ni baadhi kusongesha zaidi ukitumiwa afukumi wanakata afusita uliyosongesha.

NB. Wakati kwenye overdraft hakuna interest, songesha nadhani wanatoza riba fulani.

Maslahi: sijaqualify kusongesha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom