ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,602
- 119,753
Hapendi jina la makapuku anasema ye sio kapuku tunamuelewesha hili jina tu hataki



sitaki hilo jina na silipendi hata kidogo! Nikiitwa tena siitiki...hahahaHapendi jina la makapuku anasema ye sio kapuku tunamuelewesha hili jina tu hataki



sitaki hilo jina na silipendi hata kidogo! Nikiitwa tena siitiki...hahaha
Aiseee!! Kumbe lilikuwa la shari shari hivyo
Nimesoma comments za mwanzo ni as if lilianzishwa kwa hasira. Mtoa mada sijui nini kilimkuta
Kuna watu wanaichukulia jf serious sana![]()



Usiniambie auntie sijawahi kusoma kabisa watu wa jf wana makasiriko
kumbe kwenye ule uzi wa mshana ulikuwa watupia za uongo eenh


Nilikuwa naziba suraIbra87 alikuwa kinara, ilikuwa bifu sijui za nini...Mungu amlaze palipo pema huyu mwamba!!Aiseee!! Kumbe lilikuwa la shari shari hivyo
Nimesoma comments za mwanzo ni as if lilianzishwa kwa hasira. Mtoa mada sijui nini kilimkuta
Kuna watu wanaichukulia jf serious sana![]()
sitaki hilo jina na silipendi hata kidogo! Nikiitwa tena siitiki...hahaha



We mzee huwa unanifurahisha sana
Ameen apumzike kwa amaniIbra87 alikuwa kinara, ilikuwa bifu sijui za nini...Mungu amlaze palipo pema huyu mwamba!!
Bora nikasome kimasihara au nipitie zile picha na wadada wakali sanaWe mzee huwa unanifurahisha sana



Yaani hizo comments nimechokaIbra87 alikuwa kinara, ilikuwa bifu sijui za nini...Mungu amlaze palipo pema huyu mwamba!!



Eti "makapuku" haki hili jina mods walibadili. Its not welcoming at all.Bora nikasome kimasihara au nipitie zile picha na wadada wakali sana
Japo nikiitwa napitia dondoo zako, uko njema binti wa kisambaa!![]()
Nilikuwa naziba sura
Eti "makapuku" haki hili jina mods walibadili. Its not welcoming at all.
Mkwe kumbe una kabinti kengine...
Vile mahari yangu ilikuwa kubwa sana, ungenipa haka kabinti kama nyongeza





Halafu huyu ni yule anabaki na mama nyumbani kulea wazazi. She is too precious kuja kukutana na nyie vibaka.Mkwe kumbe una kabinti kengine...
Vile mahari yangu ilikuwa kubwa sana, ungenipa haka kabinti kama nyongeza
Akuuuu, mwenyewe![]()
Bangi unayovuta inatakiwa ipimwe.
Mahari gani uliwahi kutoa wewe?
Halafu huyu ni yule anabaki na mama nyumbani kulea wazazi. She is too precious kuja kukutana na nyie vibaka.