Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aiseee!! Kumbe lilikuwa la shari shari hivyo[emoji134][emoji134][emoji134]
Nimesoma comments za mwanzo ni as if lilianzishwa kwa hasira. Mtoa mada sijui nini kilimkuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna watu wanaichukulia jf serious sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usiniambie auntie sijawahi kusoma kabisa watu wa jf wana makasiriko
 
Aiseee!! Kumbe lilikuwa la shari shari hivyo[emoji134][emoji134][emoji134]
Nimesoma comments za mwanzo ni as if lilianzishwa kwa hasira. Mtoa mada sijui nini kilimkuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuna watu wanaichukulia jf serious sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ibra87 alikuwa kinara, ilikuwa bifu sijui za nini...Mungu amlaze palipo pema huyu mwamba!!
 
Akuuuu, mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukiona mafuta yamepanda bei kidogo, halafu unalalamika kama myukreini...wewe ni kapuku

Ukiona maza hapandishi mshahara, halafu wewe unalalamika kama ugali na dagaa sio msosi...wewe ni kapuku

Ukiona joto kidogo tu likiongezeka, halafu unalalamika kama huna hela ya kununua feni au eisii...wewe ni kapuku

Ukiona bando zimepanda kidogo tu, halafu unalalamika huna hela ya bando...wewe ni kapuku

Naweza nikaendelea na kujaz aseva za jeiefu
 
Back
Top Bottom