Makapuku Forum

Makapuku Forum

Haha watu wanakujaza unajua wanakukubali kumbe wenzio wanakuchora tu

Ni either wakikusifia uwalie buyu au uamue kujitoa tu ufahamu kwamba wakikusifia unafurahia tu kinafiki ili muende sawa ila moyoni unajua kabisa wanakuzunguka

Lakini ukijifanya unawaamini imekula kwako
Sifa zipo kwaajili ya wanafiki tu ambao wanafaidika na sifa wanazo kupa ukikosea ndio hao wanakugeuka

Binadamu ameumbwa na fikira chonganishi
 
Haha watu wanakujaza unajua wanakukubali kumbe wenzio wanakuchora tu

Ni either wakikusifia uwalie buyu au uamue kujitoa tu ufahamu kwamba wakikusifia unafurahia tu kinafiki ili muende sawa ila moyoni unajua kabisa wanakuzunguka

Lakini ukijifanya unawaamini imekula kwako
Naaam huo mstari wa pili nimeupenda sana sema unakuta mtu hujielewi woiiii acha si wengine tubaki na ushamba wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom