Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,572
Aaah!! Uzee huu bwanaAuntie umeanza hutakagi kuelewa yaani karma kaongea kwa code yaani huna hata ulichoambulia.![]()



Aaah!! Uzee huu bwanaAuntie umeanza hutakagi kuelewa yaani karma kaongea kwa code yaani huna hata ulichoambulia.![]()



hahahahaBasi utakuwa afande kweli we mzee
Yani acha tuUnaona unapendwaaaa kumbe watu wanakujaza ujinga tu wanafurahua maujinga yako
Haha sina hakika ila itakuwaHuyo mtu itakuwa wanajuana nje ya jf
aaahYani acha tu
Jf ni kukaa kitaalamu tu
Ukisifiwa usikimbilie kufurahi
hahahahaha,dah kumbeUnaona unapendwaaaa kumbe watu wanakujaza ujinga tu wanafurahua maujinga yako
..
Nahisi umeelewa ndiyo maana umecheka
Watu wa jf na vituko vyao daah
mmmhHuyo mtu itakuwa wanajuana nje ya jf
LikedYani acha tu
Jf ni kukaa kitaalamu tu
Ukisifiwa usikimbilie kufurahi
Hata mi sijui auntie. Ukiwa utaniambia.

Auntie ushindwe kwa jina la Yesu hivi nini unanitafuta
Ebu ukoooo
Then unaulipaje? Au ndio nitolee?
Hebu nipe maujanja nikatengeneze line za voda![]()


nitolee wapi hela ikiingia kwenye mpesa wanakata juu kwa juu
Sio uzee sema hutakagi kijichosha kabisaAaah!! Uzee huu bwana![]()
Yani acha tu
Jf ni kukaa kitaalamu tu
Ukisifiwa usikimbilie kufurahi


Sasa wengine hawajui ukisifiwa unalipuka tu unaona sawa tu kumbe nyuma ya kisogo watu wanakung'ong'a
Sasa je we mzee ukisifiwa na watu uwe kimya tu wajibu asantehahahahaha,dah kumbe
We mzee nini jamani....
Binamu nakusalimiaLiked