Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,063
Bora nikasome kimasihara au nipitie zile picha na wadada wakali sana
Japo nikiitwa napitia dondoo zako, uko njema binti wa kisambaa!![]()



Bora nikasome kimasihara au nipitie zile picha na wadada wakali sana
Japo nikiitwa napitia dondoo zako, uko njema binti wa kisambaa!![]()



Ukiona mafuta yamepanda bei kidogo, halafu unalalamika kama myukreini...wewe ni kapuku
Ukiona maza hapandishi mshahara, halafu wewe unalalamika kama ugali na dagaa sio msosi...wewe ni kapuku
Ukiona joto kidogo tu likiongezeka, halafu unalalamika kama huna hela ya kununua feni au eisii...wewe ni kapuku
Ukiona bando zimebanda kidogo tu, halafu unalalamika huna hela ya bando...wewe ni kapuku
Naweza nikaendelea na kujaz aseva za jeiefu



mkuu na magumu yote haya ila nimeamua sitaki ukapuku. Na kweli saivi nalalama kinyama manake hata ningekuwa na gari au nyumba au simu ya tachi, vingenishinda kuhudumia, hii smart kitochi idumu sana.
Mods walibadilishe aisee kama waliweza kumtoa mleta thread hata jina watabadilisha Paw Cookie Moderator Maxence Melo tunaomba mtubadilishie jina la Makapuku jamani tunawaombaEti "makapuku" haki hili jina mods walibadili. Its not welcoming at all.
Eeeeh, kule ni kuamshana tu, hakuna kulala hataaa! Naachaje kusabsraib.Nyuzi zako hizo
Naambiwa umesubscribe kabisa...


AiseeeeHaha hofu yangu tu asije kuwa naye anafanya kile kina SA, HS, SYB na C walikuwa wanafanya kwa yule maana jf watu hawachelewi


Hahah, ngoja nitarudi tena pale mahali nikaongee vizuri na yule mdada vizuri...
Isijekuwa mzee aliacha DNA yake mahali


We mzee ebu acha kunifananishamkuu na magumu yote haya ila nimeamua sitaki ukapuku. Na kweli saivi nalalama kinyama manake hata ningekuwa na gari au nyumba au simu ya tachi, vingenishinda kuhudumia, hii smart kitochi idumu sana.
Ukiona mafuta yamepanda bei kidogo, halafu unalalamika kama myukreini...wewe ni kapuku
Ukiona maza hapandishi mshahara, halafu wewe unalalamika kama ugali na dagaa sio msosi...wewe ni kapuku
Ukiona joto kidogo tu likiongezeka, halafu unalalamika kama huna hela ya kununua feni au eisii...wewe ni kapuku
Ukiona bando zimebanda kidogo tu, halafu unalalamika huna hela ya bando...wewe ni kapuku
Naweza nikaendelea na kujaz aseva za jeiefu




Usiwasikilize Auntie...
Yangu yenyewe inazeekea kwa wallet..


Ebu acha kunitania bwana
Ulipata gawio Auntie wangu?![]()


Eenh auntie 478 miamala ninayoifanya sio wa kupewa hiko kiasi hivi wanazingatia vigezo gani
Nilikumiss bwana anayekuficha mwambie auntie awe anakuachia kidogoNiko hapa Auntie...
Nimepanda mlima huko....mambo kumbe yalikuwa mob hivi hata huniambii?,![]()
mkuu na magumu yote haya ila nimeamua sitaki ukapuku. Na kweli saivi nalalama kinyama manake hata ningekuwa na gari au nyumba au simu ya tachi, vingenishinda kuhudumia, hii smart kitochi idumu sana.




We mzee ebu acha kunifananisha
Mama mchungaji nakusalimia mimiAiseeee![]()
Nilipita kukusalimia kijiweni kwako mama Muinjili. Wajionaje hali?Mama mchungaji nakusalimia mimi