Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukiona mafuta yamepanda bei kidogo, halafu unalalamika kama myukreini...wewe ni kapuku

Ukiona maza hapandishi mshahara, halafu wewe unalalamika kama ugali na dagaa sio msosi...wewe ni kapuku

Ukiona joto kidogo tu likiongezeka, halafu unalalamika kama huna hela ya kununua feni au eisii...wewe ni kapuku

Ukiona bando zimebanda kidogo tu, halafu unalalamika huna hela ya bando...wewe ni kapuku

Naweza nikaendelea na kujaz aseva za jeiefu
mkuu na magumu yote haya ila nimeamua sitaki ukapuku. Na kweli saivi nalalama kinyama manake hata ningekuwa na gari au nyumba au simu ya tachi, vingenishinda kuhudumia, hii smart kitochi idumu sana.
 
mkuu na magumu yote haya ila nimeamua sitaki ukapuku. Na kweli saivi nalalama kinyama manake hata ningekuwa na gari au nyumba au simu ya tachi, vingenishinda kuhudumia, hii smart kitochi idumu sana.

Hahah...ukapuku utaendelea tu

Muda si mrefu kwenda Mbezi, Kiluvya, sijui Kibamba huko inakuja tozo ya kupita kwenye barabara yao hiyo mpya...
 
Ukiona mafuta yamepanda bei kidogo, halafu unalalamika kama myukreini...wewe ni kapuku

Ukiona maza hapandishi mshahara, halafu wewe unalalamika kama ugali na dagaa sio msosi...wewe ni kapuku

Ukiona joto kidogo tu likiongezeka, halafu unalalamika kama huna hela ya kununua feni au eisii...wewe ni kapuku

Ukiona bando zimebanda kidogo tu, halafu unalalamika huna hela ya bando...wewe ni kapuku

Naweza nikaendelea na kujaz aseva za jeiefu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom