Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Hahahaa ila sasa hivi umekuwa mzoefu eenhhahahaha,hapana,sikua nimezoea watu
Hahahaa ila sasa hivi umekuwa mzoefu eenhhahahaha,hapana,sikua nimezoea watu
hahahaha,ukiwepo ww nakua mzoefu zaidiHahahaa ila sasa hivi umekuwa mzoefu eenh
hahahaha,itafute ili niamini vzrHahahha ngoja niitafute hiyo comment
ahsante,nami nakupenda sana ,karibuUnapendwa sana na shunie
merci,shangazi tuko pamojaHapo ww mzee mtu chake
Shukrani we mzee uzidi kubarikiwaahsante,nami nakupenda sana ,karibu
Hahahahata sijui nacheka ninii ila auntie makii utakuja WhatsApp kunifafanulia au tukipigiana simu
nawe ubarikiwe kuliko wanawake woteShukrani we mzee uzidi kubarikiwa
Ameen ww mzeenawe ubarikiwe kuliko wanawake wote

tubarikiwe sote
na wote wawili tuseme, amenAmeen ww mzeetubarikiwe sote
Dah! Na leo alicho nifanyia namtazama tu.. Kaniambia nimpe lift, nimejipinda nimeenda na kirikuu changu nimeweka na wese la buku ten, kanikalisha masaa matatu pale nje ya ofisi naota joto tu.. badae nikaona anatoka na Lexus LX 570.. yaani ila fresh tuHuyo ana magari zaidi ya hayo unayoyajua mdogo wangu
Ameenna wote wawili tuseme, amen

karibuAmeen![]()
Nimekuacha.niacheeee
Basi bora tumepata kilinge cha kupiga sogaMwenyewe nilivamiaga tu hii thread ya watu nikajikuta tu naipenda tuuu mpaka leo
Ebu kasome page ya kwanza walisema inahusu nini eti auntie mwenyewe hata sijui waanzilishi wenyewe wamekimbia wametuacha wavamizi wa thread yao

Auntie mie sijasema hivyo lakiniKwa nini wakina shunie lakini hivi wengine huwaoni au me nimekaa kipigaji pigaji tu acha tu nimwachie Mungu




