Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
Hahahaa ila sasa hivi umekuwa mzoefu eenhhahahaha,hapana,sikua nimezoea watu
Hahahaa ila sasa hivi umekuwa mzoefu eenhhahahaha,hapana,sikua nimezoea watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] niacheeeeMajungu si mtaji auntie.
hahahaha,ukiwepo ww nakua mzoefu zaidiHahahaa ila sasa hivi umekuwa mzoefu eenh
hahahaha,itafute ili niamini vzrHahahha ngoja niitafute hiyo comment
Eeenh. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hahahaha,ukiwepo ww nakua mzoefu zaidi
ahsante,nami nakupenda sana ,karibuUnapendwa sana na shunie
merci,shangazi tuko pamojaHapo ww mzee mtu chake
Shukrani we mzee uzidi kubarikiwaahsante,nami nakupenda sana ,karibu
Hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata sijui nacheka ninii ila auntie makii utakuja WhatsApp kunifafanulia au tukipigiana simu
nawe ubarikiwe kuliko wanawake woteShukrani we mzee uzidi kubarikiwa
Ameen ww mzee [emoji120][emoji120] tubarikiwe sotenawe ubarikiwe kuliko wanawake wote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani nimecheka ila sijaelewa nataka kueleweshwa zaidiHahaha
na wote wawili tuseme, amenAmeen ww mzee [emoji120][emoji120] tubarikiwe sote
Dah! Na leo alicho nifanyia namtazama tu.. Kaniambia nimpe lift, nimejipinda nimeenda na kirikuu changu nimeweka na wese la buku ten, kanikalisha masaa matatu pale nje ya ofisi naota joto tu.. badae nikaona anatoka na Lexus LX 570.. yaani ila fresh tuHuyo ana magari zaidi ya hayo unayoyajua mdogo wangu
Ameen [emoji120]na wote wawili tuseme, amen
karibuAmeen [emoji120]
Nimekuacha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] niacheeee
Basi bora tumepata kilinge cha kupiga soga[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwenyewe nilivamiaga tu hii thread ya watu nikajikuta tu naipenda tuuu mpaka leo
Ebu kasome page ya kwanza walisema inahusu nini eti auntie mwenyewe hata sijui waanzilishi wenyewe wamekimbia wametuacha wavamizi wa thread yao
Auntie mie sijasema hivyo lakini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa nini wakina shunie lakini hivi wengine huwaoni au me nimekaa kipigaji pigaji tu acha tu nimwachie Mungu