Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Nyuzi zako hizoBora nikasome kimasihara au nipitie zile picha na wadada wakali sana
Japo nikiitwa napitia dondoo zako, uko njema binti wa kisambaa!![]()

Sisi wazima kabisa Kaka Tajiri...Mzima Dada Tajiri lakini ? Mnaendeleaje hapo ?
Mungu mwema, Dada Boss!Sisi wazima kabisa Kaka Tajiri...
Vipi nyie huko?
Ijumaa Inaenda aje?
Kwanini Filikunjombe sasa jamani?
Jambo jema kaka Tajiri...Mungu mwema, Dada Boss!
Hapa amani kabisa Tajiri !
Ijumaa tupo kiwandani tu hapa kwa kanjibai
Nitoe out bass
Mkwe wako hafai kabisa...Kana matusi ya rejareja haka kamkwe kangu

Hata maeneo yako na ma boss wenzako na mie nioshe macho 😃😃Jambo jema kaka Tajiri...
Out ya kwenda wapi jamani?
He he he...Hata maeneo yako na ma boss wenzako na mie nioshe macho![]()

🏃🏃🏃🏃🏃🏃 kanjibai hajalipa mwezi wa pili huuHe he he...
Nataka nikugande leo unipeleke maeneo![]()
Hahaha haya mambo umeanza liniMkwe kumbe una kabinti kengine...
Vile mahari yangu ilikuwa kubwa sana, ungenipa haka kabinti kama nyongeza
Halafu huyu ni yule anabaki na mama nyumbani kulea wazazi. She is too precious kuja kukutana na nyie vibaka.




Tutakopakanjibai hajalipa mwezi wa pili huu

Habari za kufichwaUpo wa kutosha Toto...
Hahaha aunt wacha twende naye tu hivyo hivyo anavyotaka sasa tufanyeje
Jamani![]()
Sijaficha hata Toto..Habari za kufichwa
Hahaha aunt wacha twende naye tu hivyo hivyo anavyotaka sasa tufanyeje








😒😒😒 Wewe ukope kweli..Tutakopa![]()