Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,182
- 35,325
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Filikunjombe mkubwa wewe!!
[emoji57]
Kwanini Filikunjombe sasa jamani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Filikunjombe mkubwa wewe!!
[emoji57]
Nyuzi zako hizo[emoji38]Bora nikasome kimasihara au nipitie zile picha na wadada wakali sana[emoji3][emoji3]
Japo nikiitwa napitia dondoo zako, uko njema binti wa kisambaa![emoji3]
Sisi wazima kabisa Kaka Tajiri...Mzima Dada Tajiri lakini ? Mnaendeleaje hapo ?
Mungu mwema, Dada Boss!Sisi wazima kabisa Kaka Tajiri...
Vipi nyie huko?
Ijumaa Inaenda aje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini Filikunjombe sasa jamani?
Jambo jema kaka Tajiri...Mungu mwema, Dada Boss!
Hapa amani kabisa Tajiri !
Ijumaa tupo kiwandani tu hapa kwa kanjibai [emoji2][emoji2]
Nitoe out bass
Mkwe wako hafai kabisa...Kana matusi ya rejareja haka kamkwe kangu
Hata maeneo yako na ma boss wenzako na mie nioshe macho 😃😃Jambo jema kaka Tajiri...
Out ya kwenda wapi jamani?
He he he...Hata maeneo yako na ma boss wenzako na mie nioshe macho [emoji2][emoji2]
🏃🏃🏃🏃🏃🏃 kanjibai hajalipa mwezi wa pili huuHe he he...
Nataka nikugande leo unipeleke maeneo[emoji38]
Hahaha haya mambo umeanza liniMkwe kumbe una kabinti kengine...
Vile mahari yangu ilikuwa kubwa sana, ungenipa haka kabinti kama nyongeza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu huyu ni yule anabaki na mama nyumbani kulea wazazi. She is too precious kuja kukutana na nyie vibaka.
Tutakopa[emoji28][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] kanjibai hajalipa mwezi wa pili huu
Habari za kufichwaUpo wa kutosha Toto...
Hahaha aunt wacha twende naye tu hivyo hivyo anavyotaka sasa tufanyeje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamani[emoji119]
Sijaficha hata Toto..Habari za kufichwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha aunt wacha twende naye tu hivyo hivyo anavyotaka sasa tufanyeje
😒😒😒 Wewe ukope kweli..Tutakopa[emoji28]