Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Ubebe barako maana kuna vumbi kweliHe he he....
Vya bure hatuchagui bhana...Nitaweza.![]()
Ubebe barako maana kuna vumbi kweliHe he he....
Vya bure hatuchagui bhana...Nitaweza.![]()
Tunashindwaje kwa mfano
Kwa kweli tutanunua tu...
Wanawake hatajawahi kushindwa Auntie..
Panga la Mo dewji linakuja baada ya dirisha kufunguliwa
Majungu si mtaji auntie.Kuna mda najiuliza huyu auntie yangu au I'd imehuckiwa![]()
Huu ukanda unahitaji maombi maalumu.Mtoto wa miaka miwili(2) Nkiya Thomas, Mkazi wa Kijiji cha Nyamigogwa Kata ya Shabaka Wilaya ya Nyang'hwale, Mkoa wa Geita, amekutwa ameuawa kwa kuchinjwa na Watu wasiojulikana na mwili wake kutupwa kwenye shamba ambalo lipo mkabala na nyumba yao.
Jamhuri David ni Mkuu wa Wilaya ya Nyang'hwale ambapo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuagiza uchunguzi wa tukio hili ufanyike haraka "Hatuwezi kukubali Wilaya yetu kuwa na matukio ya namna hii , kwa upande wangu nimesikitishwa sana na tukio hili niombe tushirikiane kutokomeza haya matukio"
Kwa upande wake Mama Mzazi wa Mtoto aitwaye Mperwa Sahani amesema "Taarifa ya kifo cha Mtoto wangu nilipewa na Mtoto wa Shemeji yangu kuwa Nkiya amefariki wamemuona shambani amechinjwa nilipofika kweli nilikuta Mtoto wangu amechinjwa"View attachment 2261986
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia Warren Mwinuka (20) Mkazi wa Mtaa wa Makondeko jijini Mbeya kwa tuhuma za kujifanya ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (Juma Homera ) na kutumia akaunti ya mtandao wa kijamii wa Instagram kwa jina la Mkuu huyo.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei amesema Mtuhumiwa huo alikamatwa Juni 7 majira ya saa nane mchana katika maeneo ya Mama John jijini Mbeya alipokuwa akiendelea kuwatapeli Watu.
Mtuhumiwa alikuwa akitumia akaunti hiyo kuwahadaa Watu kwa kujifanya ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na kutoa namba ya simu yake ili Wananchi waweze kutoa na kumfikishia kero au shida mbalimbali na alitumia fursa hiyo kutapeli.
Kwa upande wake Mtuhumiwa amejitetea kuwa sababu ambayo ilimpelekea hadi kufanya hivyo ni kwakuwa anampenda sana Mkuu wa Mkoa huyo lakini Polisi wamesema upelelezi wa shauri hilo unaendelea na ukikamilika Mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani. View attachment 2261984




hahahahahaHivi auntie, hii makapuku yenu lengo lake lilikuwa nini?
And why "makapuku"![]()
Hahaa kwahiyo we unaona unapolala ni pa kimasikini kweliHe he he...Kudanganya siwezi Toto...
Sasa hata wewe nikudanganye kweli?Wakati hadi ninapolala unapajua
Weee!!!
Anyway...nitakuuliza kitu wakati mwingine... si hapa![]()




Yeah nimepita nimeona nauli ni ile ileInawezakana na imebaki ile ile...
Hii nchi kila mtu mpigaji, ni vile akina Shunie hawajapata nafasi ya kupiga.


Kwa nini wakina shunie lakini hivi wengine huwaoni au me nimekaa kipigaji pigaji tu acha tu nimwachie Mungu