Makapuku Forum

Makapuku Forum

Dah! Na leo alicho nifanyia namtazama tu.. Kaniambia nimpe lift, nimejipinda nimeenda na kirikuu changu nimeweka na wese la buku ten, kanikalisha masaa matatu pale nje ya ofisi naota joto tu.. badae nikaona anatoka na Lexus LX 570.. yaani ila fresh tu
Hahaa we tuchote tu hapa
Hivi siku hizi ndiyo umeacha kabisa kwenda kwenye kile kijiwe chako cha kishua
Au ushahama kule
 
Huyu ni mimi kabisa nikikopa songesha ila voda
Screenshot_20220615-222004_Instagram%20Lite.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom