Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unajua mimi niko Ok,hapa nimejifunza Upendo na mshikamano,ila pia nimejifunza kuna kauli ndogondogo za utani kama mtu hana MSULI WA IMANI ,HAKIKA ANAJISIKIA VIBAYA,NA UBAYA HAKUNA SANDUKU LA MAONI....Tunaweza tukasema ok watu wawepo wasiwepo Kapuku itakuapo,lakini kuna faida gani mtu ajisikie kuwa hana umuhimu wakati tayari MUNGU ALITUWEKA PAMOJA?IPO SABABU YA KUENDELEA KUWA PAMOJA AT ANY COST...MARA NYINGI HUWA NATOA ANGALIZO..ULIMI KIUNGO KIDOGO LAKINI KINALETA MAFARAKANO WHY?KWAKUA KILA MTU ANANAMNA YA KUTAFSIRI MAMBO..TUMUOMBE SANA MUNGU KUCHUNGA KAULI ZETU

KUNA MAMBO YA UTANI KABISAAAA NA YATABAKI UTANI

ILA KUHUSU SIMU..NI KWELI HAZILINGANI HAPA KUNA WENYE LAPTOP,DESKTOP,IPAD NK WENYE TECNO ,HUWAEI..WAKIONA HV WANAONA HEE KUMBE MIMI MNYONGE...

MI UKIONA KASIMU KANGU UTACHEKA,LAKINI NIKO POA TU..NA TUPO PAMOJA LKN NAKUHAKIKISHIA KUNA WAKATI HUWA NAWAZA NINGEKUA NA LAPTOP INGEKUA VIZURI ZAIDI..SO TUSAIDIANE MAHALI HAPA PAWE PEMA NA SALAMA
Good
 
7/Agricultural Bank of China Ltd
997beee25cc63da6007f783dd4b5b2de.jpg
4d3e4a70e95c778829105169942f4c67.jpg
fcd38d845f4be22d634195f6d3cbc39a.jpg

Wachina tena !!!
Hawa jamaa kwenye masuala ya kibenki washajiimarisha tukizubar tu tutakuta tunajazana kwenye benki zao kuweka pesa
Baada ya kuwa na benki kubwa ya viwanda na biashara(ICBC) sasa tupo kwenye benki ya Wakulima(kilimo)
Wakati bongo ngobjera za kilimo nyingi bila vitebdo matokeo yake wakulima hawana pembejeo wenzetu wao ni vitendo tu(saying loud doing nothing).....wenzetu ni doing everything talking nothing
Kwa mwaka benki hii ya kilimo mapato yake hufikia USD 68 billion
Imeajiri watu 479,000

.
Wakulima wa bongo msione wivu.... endeleeni kuozewa na nafikiri yenu
Hamjalazimishwa kulima !!!
........
Wachina wanatisha sana
 
10/McDonald's Corp.
9dd4e3a7962f4e72f58af555dcca2e2a.jpg
20384596356428ede925462ee8437744.jpg
c1e295451baecebd599affeb4dd91cde.jpg
Kwa watoto wa kiahua au watu waliozoea mboga saba hakuna asiyeijua McDonald's ....ni kampuni kubwa ya migahawa iliyosambaa duniani
Ni kampuni inayomilimiwa na Wamarekani na ambayo Kwa mwaka hupata mapato yanayokadiriwa kufikia USD 28.2 Billion
Imeajiri wafanyakazi takribani 440,000 katika ajira rasmi ila wapo wengine takribani milion wanaoitegemea kuendesha maisha yao

Demu anayetaka pizza anifuate PM
......
 
1/Wal--Mart Stores Inc
7cb1a310e8cec0252584625826b8d00e.jpg
c02001239fb5a483f5c35dcd4475bfb6.jpg
ac82afc23e5da9cb555a04f119ce5410.jpg

Wamiliki ni Wamarekani
Ndiyo kampuni iliyoajiri watu wengi zaidi duniani.......Kwa Marekani imeiacha mbali McDonalds Kwa wingi wa wafanyakazi au pengine na kimapato
Inajihusisha zaidi na uuzaji wa bidhaa za rejareja(retail trade}
Hawa jamaa ndio wamiliki wa Walmart,Sam's Club na biashara kibao
Kwa mwaka huingiza takribani USD 480 Bilioni
Imeajiri zaidi ya watu 2,200,000
.
.
.
.
.
Shukrani Kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Shukrani kwa 10 kubwa Bitoz
 
9/Industrial and Commercial Bank of China Ltd
a1d697309ccc40ec9476de0689b4381d.jpg
73c7197402fcd2c78e97b010775c10a4.jpg
f4feac0e0be54bd70359595cb8c3c661.jpg

Hii ni benki kubwa inayomilikiwa na Wachina achana na Exim Bank Wachina wameshajipanga kuitawala dunia kiuchumi na sasa wapo juu wakati Kwa bongo viwanda vipo magazetini tu wenzetu wana benki ya viwanda na biashara
Mapato yake hifikia USD 90 billion
Imeajiri watu 442,000

Pesa huna unamiliki akaunti benki ya nini? Utawekea matofali ?
.......
Kwa vijembe tu,unatisha
 
6/Compass Group PLC
8484e18824ef88cc49117f156e12a09e.jpg
e3079663aae79e355af44a293db7edcf.jpg
4518ed8ed53393131e5eda77cec30b7f.jpg

Ni kampuni ya Waingereza
Imewekeza katika huduma mbalimbali{Group of Companies) mfano wamewekeza kwenye elimu kamaFeza Schools
Ina natawi katika nchi zaidi ya 50 duniani kote
Kwa mwaka mapato yake hufikia USD 28 Billion
Imeajiri watu takribani 200.000 Amerika Kaskazini pekee
Imeajiri watu 506,000 duniani kote
......
Aisee, ndio yule mkimbizi aliyeko uhamishoni marekani Gurleng
 
4/Volkswagen AG
7f74e3c2bfd918776d4ef27406c1ccc7.jpg
d4017a0f10d5bfee0925546c51ac68cc.jpg
b9b50b842a10b2347de246ac189fb8a5.jpg

Ilianzishwa wakati wa utawala wa Kinzi huko Ujerumani
Dikteta Adolf Hitler alitamani kila Mjerumani aendeshe gari na kutambua mjini badala ya kuzungusha pedali za baiskeli na akafanikisha azma yake Kwa kuanza na uzalishaji wa magari ya gharama nafuu
Kwa mwaka huzalisha/huunda magari takribani Milioni kumi
Imeajiri watu zaidi ya 560,000
..........
Aliona mbali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom