Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/Randstad Holding NV
bfcc69d07f184001ffab94c38ef732a3.jpg
c0c6d9df766af18fc3af4001526cdcae.jpg
15de8f2f565b01aeac3da4a282a9e995.jpg
Ni kampuni ya Kiholanzi inayojihusisha zaidi na kutumikisha watu(human resources)
Yaani ni kama ma kampuni ya hapa bongo yanayosambaza watu maofisini ila hii ni ya kimataifa ukiwa na matawi zaidi ya 3000 duniani kote
Anaingiza mkwanja unaofikia USD 23 billion
Imeajiri watu takribani 600,000
.......
Duh aisee
 
1/Wal--Mart Stores Inc
7cb1a310e8cec0252584625826b8d00e.jpg
c02001239fb5a483f5c35dcd4475bfb6.jpg
ac82afc23e5da9cb555a04f119ce5410.jpg

Wamiliki ni Wamarekani
Ndiyo kampuni iliyoajiri watu wengi zaidi duniani.......Kwa Marekani imeiacha mbali McDonalds Kwa wingi wa wafanyakazi au pengine na kimapato
Inajihusisha zaidi na uuzaji wa bidhaa za rejareja(retail trade}
Hawa jamaa ndio wamiliki wa Walmart,Sam's Club na biashara kibao
Kwa mwaka huingiza takribani USD 480 Bilioni
Imeajiri zaidi ya watu 2,200,000
.
.
.
.
.
Shukrani Kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
..........
Thanks bitoz kwa kumi kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom