Ewaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jimena, mimi nawe tumepitia vipindi vinavyofanana, wale watu wametuacha tukiwa bado tuna wahitaji, najua unahitaji mtu sahihi,
Najua unataka furaha inayozidi
Unahitaji wa kukuita lile jina
Nafsi yako yahitaji changamko
Moyo unatamani kusikia neno tamu.
Wakuyafanya haya ni mimi,
Ninaweza Jimena
Unaweza kunifanya mwenye furaha
Upendo hufunika mapungufu hivyo fujo zako sitafunikwa na mapenzi wala haxitanikwaza
Nakupenda eti Jimena![]()
Nashindwa hata niandikeje
Mikono haina nguvu kwa shauku iliyozidi Jimena.
Malizia Jimena wangu.
Mimi nawe tumeona mengi na yametufunza, kilichobaki ni kushikana na KUPENDANA
I LOVE YOU JIMENA![]()
![]()
![]()
Lenovo hii brand yao ya sasa ambayo inauwezo wa kukaa na chaji siku 7..... Model nimeisahauUnataka simu gani Jimena
Na mie naondokaWakuu ..
Baadaye kidogo
Uko sahihi sanaBaada ya Wayahudi nafikiri Kwa IQ wanafuata Wachina
Hawa ni janga Kwa dunia
.....
SweetieBaby...
Baadaye kidogo..
Hahahahaha crazy SakayoMie nitaenda kuufungua ujue
Umepata Jimena, tutacheki Pale Supna mtaa wa Samora.Lenovo hii brand yao ya sasa ambayo inauwezo wa kukaa na chaji siku 7..... Model nimeisahau
Sasa we usitake kusababisha watu wajue kuwa nna undugu na mapankiUna danganya Umma
YeahHahahahaha crazy Sakayo
Nmekisia mwenyewe atachaguaHahaha
Acha ajibu mwenyewe
Safari njemaWakuu ..
Baadaye kidogo
Poa PoaNmekisia mwenyewe atachagua
Ingieni ndaniNa mie naondoka
Vyote vipo na zaidiasante sana, kile kipindi cha magazeti na leo katika historia bado kipo?
HahahaIngieni ndani
Upendo.Si maana hiyo.. Lakini je ni sababu zipi za kudumu hapa?
Niambie sasa....Hiyo ni presha Jimena wala usitamani
Kwa usawa huu hakuna kinacholipa kwa haraka, nitakwambia kitu kinacholipa fasta bila puresha mpendwa wangu