Makapuku Forum

Makapuku Forum

7/Agricultural Bank of China Ltd
997beee25cc63da6007f783dd4b5b2de.jpg
4d3e4a70e95c778829105169942f4c67.jpg
fcd38d845f4be22d634195f6d3cbc39a.jpg

Wachina tena !!!
Hawa jamaa kwenye masuala ya kibenki washajiimarisha tukizubar tu tutakuta tunajazana kwenye benki zao kuweka pesa
Baada ya kuwa na benki kubwa ya viwanda na biashara(ICBC) sasa tupo kwenye benki ya Wakulima(kilimo)
Wakati bongo ngobjera za kilimo nyingi bila vitebdo matokeo yake wakulima hawana pembejeo wenzetu wao ni vitendo tu(saying loud doing nothing).....wenzetu ni doing everything talking nothing
Kwa mwaka benki hii ya kilimo mapato yake hufikia USD 68 billion
Imeajiri watu 479,000

.
Wakulima wa bongo msione wivu.... endeleeni kuozewa na nafikiri yenu
Hamjalazimishwa kulima !!!
........
 
Wachina hatari sana
Kwenye usafirishaji keshaanza kutawala now kuna Yutong,Zhongthong,Higer n.k akina Scania,Toyota wanabaki kujiuliza tu
Mi nikielekea Mbeya ni Rungwe(Yutong) au New Force{ZhongThong) tu ndani yapo swaafi wakati Mascania yapoyapo tu yanatambia ubora(kudumu)
Wachina noma sana
..........
Uzuri wachina wanajua kutoa vitu kulingana na vipato

Kina Scania wao wanajali ubora tu
 
Chinese are so conscious with market price..

Chinese wana target low price consumers..!

They produce what you can afford, whether in a longterm or shortterm..

Thus why product aanzopeleka marekani ni tofauti na anazoleta Africa
Baada ya Wayahudi nafikiri Kwa IQ wanafuata Wachina
Hawa ni janga Kwa dunia
.....
 
Inabidi aongeze utunzi. Mashairi yashibe yawe yale ya kumtoa nyoka pangoni
emoji1.png


....
Ooh! I am doing cool bruh, how's yo day bruh?


...hanging in here, trying to stay away from trouble, you know. Got to feed 3 bellies of mine, oh yeah paying the bills. Did the weekend treat you good!
 
Nimefurahi kusikia haya...
Maana hata mi nilipoambiwa kuwa kuna ujumbe wangu umeniachia basi nilipatwa na shauku kubwa

Lakini wewe unanijua vizuri nilivyo stubborn sasa kuamua kwako kujilipua kumenishangaza

Jimena, mimi nawe tumepitia vipindi vinavyofanana, wale watu wametuacha tukiwa bado tuna wahitaji, najua unahitaji mtu sahihi,
Najua unataka furaha inayozidi
Unahitaji wa kukuita lile jina
Nafsi yako yahitaji changamko
Moyo unatamani kusikia neno tamu.
Wakuyafanya haya ni mimi,
Ninaweza Jimena
Unaweza kunifanya mwenye furaha
Upendo hufunika mapungufu hivyo fujo zako sitafunikwa na mapenzi wala haxitanikwaza
Nakupenda eti Jimena
Nashindwa hata niandikeje
Mikono haina nguvu kwa shauku iliyozidi Jimena.
Malizia Jimena wangu.
Mimi nawe tumeona mengi na yametufunza, kilichobaki ni kushikana na KUPENDANA
I LOVE YOU JIMENA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom