Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Amen! Asante sanaMATHAYO 20
32.Yesu Akasimama,akawaita akasema mnata niwafanyie nini?
33.Wakamwambia ,Bwana twataka macho yetu yafumbuliwe.
34.Yesu alawahurumia ,akawagusa macho yao;mara wakapata kuona,wakamfuata
BABA asante kwa somo jioni hii ya leo.
Tunaweza kujiuliza kwanini Yesu aliwauliza swali hili hali akijua ni vipofu?
Ingawa ni vipofu hitaji lao lingeweza lisiwe la kuona.
Nia ya Yesu ni utambue hitaji lako na kulitaja wazi mbele zake.
Sasa YESU anakuuliza nawe,pamoja na kuwa anaifaha mu hali unayopitia lakini anataka kusikia toka kinywa chako,nia yake ni wewe kueleza shida zako kwa kinywa chako na kutaja wazi mbele yake.
Anakuuliza unataka akufanyie nini?
Mwambie hitaji lako sasa,ATAKUSAIDIA.
JIONI NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Yawezekana yako ni nzuri kuliko yangu mamyAsikununulie kama yangu tu![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Jamaniiii loveAsnte mama mchuchu...
Though napita tuu mara moja..
Kukuona tuu NshapoaAsante hunie..
Pole na wewe mke wangu.
Hupendi tunavokita kambi au sioKilimo gani? Maana mmezidi kukita kambi hapa
AminaMpe pole Mungu amtie nguvu
Jamaniiii jamani....
Jibu ni moja tuu, YES or NO
kazana kaka ako apate jikoNina ujumbe wakoAsnte mama mchuchu...
Though napita tuu mara moja..
I'm always here for you lovie...
Mie werevaa ndo siitaki teeena
Ki vipWazee wa likes wamewabwaga![]()
![]()
![]()
![]()
Najitahidi ujue![]()
![]()
kazana kaka ako apate jiko
Ubarikiwe JJAmen! Asante sana
Atakuwa amenimiss mie sababu we uko naeI'm always here for you lovie...
Mie werevaa ndo siitaki teeena

Ofa ni Kwa under 30 pekeeHahahaha...hongera Mcdonald...mi napenda pizza sana Mdau Bitoz tupe ofa tu bila masharti ya PM.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ubarikiwe mummyAmina mamy...
Hitaji la moyo wangu ni Hekima na Busara.... Hayo mengine ni ubatili
Aunt ake! UpoMpe pole Mungu amtie nguvu
Amen......jion njema kwako piaMATHAYO 20
32.Yesu Akasimama,akawaita akasema mnata niwafanyie nini?
33.Wakamwambia ,Bwana twataka macho yetu yafumbuliwe.
34.Yesu alawahurumia ,akawagusa macho yao;mara wakapata kuona,wakamfuata
BABA asante kwa somo jioni hii ya leo.
Tunaweza kujiuliza kwanini Yesu aliwauliza swali hili hali akijua ni vipofu?
Ingawa ni vipofu hitaji lao lingeweza lisiwe la kuona.
Nia ya Yesu ni utambue hitaji lako na kulitaja wazi mbele zake.
Sasa YESU anakuuliza nawe,pamoja na kuwa anaifaha mu hali unayopitia lakini anataka kusikia toka kinywa chako,nia yake ni wewe kueleza shida zako kwa kinywa chako na kutaja wazi mbele yake.
Anakuuliza unataka akufanyie nini?
Mwambie hitaji lako sasa,ATAKUSAIDIA.
JIONI NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app