Makapuku Forum

Makapuku Forum

MATHAYO 20

32.Yesu Akasimama,akawaita akasema mnata niwafanyie nini?

33.Wakamwambia ,Bwana twataka macho yetu yafumbuliwe.

34.Yesu alawahurumia ,akawagusa macho yao;mara wakapata kuona,wakamfuata

BABA asante kwa somo jioni hii ya leo.

Tunaweza kujiuliza kwanini Yesu aliwauliza swali hili hali akijua ni vipofu?

Ingawa ni vipofu hitaji lao lingeweza lisiwe la kuona.

Nia ya Yesu ni utambue hitaji lako na kulitaja wazi mbele zake.

Sasa YESU anakuuliza nawe,pamoja na kuwa anaifaha mu hali unayopitia lakini anataka kusikia toka kinywa chako,nia yake ni wewe kueleza shida zako kwa kinywa chako na kutaja wazi mbele yake.

Anakuuliza unataka akufanyie nini?

Mwambie hitaji lako sasa,ATAKUSAIDIA.

JIONI NJEMA MBARIKIWE


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Amen
 

Jimena, mimi nawe tumepitia vipindi vinavyofanana, wale watu wametuacha tukiwa bado tuna wahitaji, najua unahitaji mtu sahihi,
Najua unataka furaha inayozidi
Unahitaji wa kukuita lile jina
Nafsi yako yahitaji changamko
Moyo unatamani kusikia neno tamu.
Wakuyafanya haya ni mimi,
Ninaweza Jimena
Unaweza kunifanya mwenye furaha
Upendo hufunika mapungufu hivyo fujo zako sitafunikwa na mapenzi wala haxitanikwaza
Nakupenda eti Jimena
Nashindwa hata niandikeje
Mikono haina nguvu kwa shauku iliyozidi Jimena.
Malizia Jimena wangu.
Mimi nawe tumeona mengi na yametufunza, kilichobaki ni kushikana na KUPENDANA
I LOVE YOU JIMENA
 
2/G4S PLC
a01eea9f29b2efeea555574826e6816d.jpg
82b6b78ffb77f6a3d1f250e9c1059b86.jpg
c9af95f7244f03924f2a40bbaa9ed5bf.jpg

Inamilikiwa na Waingereza na Makao makuu yapo huko
Ndio kampuni kubwa zaidi ya huduma ya Ulinzi duniani, wanalinda ma benki,mahoteli,supermarket n.k
Ina matawi karibia dunia nzima ....nafikiri Kwa hapa bongo mmeshawahi kuona japo gari lao
Kwa mwaka hutia kibindoni zaidi ta USD 13 Billion
Ina wafanyakazi zaidi ya 620,000
........
 
2/G4S PLC
a01eea9f29b2efeea555574826e6816d.jpg
82b6b78ffb77f6a3d1f250e9c1059b86.jpg
c9af95f7244f03924f2a40bbaa9ed5bf.jpg

Inamilikiwa na Waingereza na Makao makuu yapo huko
Ndio kampuni kubwa zaidi ya huduma ya Ulinzi duniani, wanalinda ma benki,mahoteli,supermarket n.k
Ina matawi karibia dunia nzima ....nafikiri Kwa hapa bongo mmeshawahi kuona japo gari lao
Kwa mwaka hutia kibindoni zaidi ta USD 13 Billion
Ina wafanyakazi zaidi ya 620,000
........
Ok

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom