Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/McDonald's Corp.
9dd4e3a7962f4e72f58af555dcca2e2a.jpg
20384596356428ede925462ee8437744.jpg
c1e295451baecebd599affeb4dd91cde.jpg
Kwa watoto wa kiahua au watu waliozoea mboga saba hakuna asiyeijua McDonald's ....ni kampuni kubwa ya migahawa iliyosambaa duniani
Ni kampuni inayomilimiwa na Wamarekani na ambayo Kwa mwaka hupata mapato yanayokadiriwa kufikia USD 28.2 Billion
Imeajiri wafanyakazi takribani 440,000 katika ajira rasmi ila wapo wengine takribani milion wanaoitegemea kuendesha maisha yao

Demu anayetaka pizza anifuate PM
......
 
MATHAYO 20

32.Yesu Akasimama,akawaita akasema mnata niwafanyie nini?

33.Wakamwambia ,Bwana twataka macho yetu yafumbuliwe.

34.Yesu alawahurumia ,akawagusa macho yao;mara wakapata kuona,wakamfuata

BABA asante kwa somo jioni hii ya leo.

Tunaweza kujiuliza kwanini Yesu aliwauliza swali hili hali akijua ni vipofu?

Ingawa ni vipofu hitaji lao lingeweza lisiwe la kuona.

Nia ya Yesu ni utambue hitaji lako na kulitaja wazi mbele zake.

Sasa YESU anakuuliza nawe,pamoja na kuwa anaifaha mu hali unayopitia lakini anataka kusikia toka kinywa chako,nia yake ni wewe kueleza shida zako kwa kinywa chako na kutaja wazi mbele yake.

Anakuuliza unataka akufanyie nini?

Mwambie hitaji lako sasa,ATAKUSAIDIA.

JIONI NJEMA MBARIKIWE


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
TOP TEN
Kwa bongo nafikiri Mzee Bakhressa na kampuni yake ya Azam ndo wanaongoza kwa kutoa ajira .....maana kuanzia Dar hadi vijijini tunatumia unga wao,vingamuzi vyao,ukija kwenye michezo pia Azam Fc inalipa vizuri wachezaji kuanzia kuwapa nyumbani,matibabu,usafiri n.k
Licha ya kwamba serikali kupitia taasisi au mashieika ya umma imeajiri watu wengi ila mchanga wa sekta Binafsi katika ajira ni mkubwa ....ila Kwa upande wa kulipa vizuri wafanyakazi kotekote wapo wanaolipwa vizuri na wanaolipwa vibaya

Sasa tuangalie makampuni yaliyoajiri watu wengi duniani
Karibuni
......
Asante

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
10/McDonald's Corp.
9dd4e3a7962f4e72f58af555dcca2e2a.jpg
20384596356428ede925462ee8437744.jpg
c1e295451baecebd599affeb4dd91cde.jpg
Kwa watoto wa kiahua au watu waliozoea mboga saba hakuna asiyeijua McDonald's ....ni kampuni kubwa ya migahawa iliyosambaa duniani
Ni kampuni inayomilimiwa na Wamarekani na ambayo Kwa mwaka hupata mapato yanayokadiriwa kufikia USD 28.2 Billion
Imeajiri wafanyakazi takribani 440,000 katika ajira rasmi ila wapo wengine takribani milion wanaoitegemea kuendesha maisha yao

Demu anayetaka pizza anifuate PM
......
Hahahaha...hongera Mcdonald...mi napenda pizza sana Mdau Bitoz tupe ofa tu bila masharti ya PM.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
MATHAYO 20

32.Yesu Akasimama,akawaita akasema mnata niwafanyie nini?

33.Wakamwambia ,Bwana twataka macho yetu yafumbuliwe.

34.Yesu alawahurumia ,akawagusa macho yao;mara wakapata kuona,wakamfuata

BABA asante kwa somo jioni hii ya leo.

Tunaweza kujiuliza kwanini Yesu aliwauliza swali hili hali akijua ni vipofu?

Ingawa ni vipofu hitaji lao lingeweza lisiwe la kuona.

Nia ya Yesu ni utambue hitaji lako na kulitaja wazi mbele zake.

Sasa YESU anakuuliza nawe,pamoja na kuwa anaifaha mu hali unayopitia lakini anataka kusikia toka kinywa chako,nia yake ni wewe kueleza shida zako kwa kinywa chako na kutaja wazi mbele yake.

Anakuuliza unataka akufanyie nini?

Mwambie hitaji lako sasa,ATAKUSAIDIA.

JIONI NJEMA MBARIKIWE


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Amina mamy...

Hitaji la moyo wangu ni Hekima na Busara.... Hayo mengine ni ubatili
 
10/McDonald's Corp.
9dd4e3a7962f4e72f58af555dcca2e2a.jpg
20384596356428ede925462ee8437744.jpg
c1e295451baecebd599affeb4dd91cde.jpg
Kwa watoto wa kiahua au watu waliozoea mboga saba hakuna asiyeijua McDonald's ....ni kampuni kubwa ya migahawa iliyosambaa duniani
Ni kampuni inayomilimiwa na Wamarekani na ambayo Kwa mwaka hupata mapato yanayokadiriwa kufikia USD 28.2 Billion
Imeajiri wafanyakazi takribani 440,000 katika ajira rasmi ila wapo wengine takribani milion wanaoitegemea kuendesha maisha yao

Demu anayetaka pizza anifuate PM
......
Mi nataka pizza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom