Makapuku Forum

Makapuku Forum

7/Agricultural Bank of China Ltd
997beee25cc63da6007f783dd4b5b2de.jpg
4d3e4a70e95c778829105169942f4c67.jpg
fcd38d845f4be22d634195f6d3cbc39a.jpg

Wachina tena !!!
Hawa jamaa kwenye masuala ya kibenki washajiimarisha tukizubar tu tutakuta tunajazana kwenye benki zao kuweka pesa
Baada ya kuwa na benki kubwa ya viwanda na biashara(ICBC) sasa tupo kwenye benki ya Wakulima(kilimo)
Wakati bongo ngobjera za kilimo nyingi bila vitebdo matokeo yake wakulima hawana pembejeo wenzetu wao ni vitendo tu(saying loud doing nothing).....wenzetu ni doing everything talking nothing
Kwa mwaka benki hii ya kilimo mapato yake hufikia USD 68 billion
Imeajiri watu 479,000

.
Wakulima wa bongo msione wivu.... endeleeni kuozewa na nafikiri yenu
Hamjalazimishwa kulima !!!
........
Dah...
 
5/PetroChina Company Limited
daa7ba541022a3cb73a9d2c989fe6e75.jpg
880227c762e6b69cff13a4787558cbfe.jpg
116f47b1398657926b46fa370fb8c453.jpg

Ilianzishwa mwaka 1999
Hii ni kampuni kubwa inayomilikiwa na Wachina
Inajishughulisha na biashara ya mafuta na gas yaani ni kama akina Lake Oil,QRXY na Oilcom
Kuna adiyejua utajiri mkubwa uliopo kwenye biashara ya mafuta duniani? Waarabu ndo rasilimali yao kuu
PetroChina Kwa mwaka hukusanya USD 373 billion
Imeajiri watu takribani 550,000
........
 

Jimena, mimi nawe tumepitia vipindi vinavyofanana, wale watu wametuacha tukiwa bado tuna wahitaji, najua unahitaji mtu sahihi,
Najua unataka furaha inayozidi
Unahitaji wa kukuita lile jina
Nafsi yako yahitaji changamko
Moyo unatamani kusikia neno tamu.
Wakuyafanya haya ni mimi,
Ninaweza Jimena
Unaweza kunifanya mwenye furaha
Upendo hufunika mapungufu hivyo fujo zako sitafunikwa na mapenzi wala haxitanikwaza
Nakupenda eti Jimena
Nashindwa hata niandikeje
Mikono haina nguvu kwa shauku iliyozidi Jimena.
Malizia Jimena wangu.
Mimi nawe tumeona mengi na yametufunza, kilichobaki ni kushikana na KUPENDANA
I LOVE YOU JIMENA
Haya maneno ni mazito sana!
Nitakuwa sio muungwana ikiwa sitasema asante kwa kunipenda huku.

Lakini sasa we unanipenda kweli au unadhani nahitaji mtu wa kunipa hayo maneno matamu uliyosema??
 
5/PetroChina Company Limited
daa7ba541022a3cb73a9d2c989fe6e75.jpg
880227c762e6b69cff13a4787558cbfe.jpg
116f47b1398657926b46fa370fb8c453.jpg

Ilianzishwa mwaka 1999
Hii ni kampuni kubwa inayomilikiwa na Wachina
Inajishughulisha na biashara ya mafuta na gas yaani ni kama akina Lake Oil,QRXY na Oilcom
Kuna adiyejua utajiri mkubwa uliopo kwenye biashara ya mafuta duniani? Waarabu ndo rasilimali yao kuu
PetroChina Kwa mwaka hukusanya USD 373 billion
Imeajiri watu takribani 550,000
........
Hawa jamaa
Hakuna mahali hawajagusa
 
4/Volkswagen AG
7f74e3c2bfd918776d4ef27406c1ccc7.jpg
d4017a0f10d5bfee0925546c51ac68cc.jpg
b9b50b842a10b2347de246ac189fb8a5.jpg

Ilianzishwa wakati wa utawala wa Kinzi huko Ujerumani
Dikteta Adolf Hitler alitamani kila Mjerumani aendeshe gari na kutambua mjini badala ya kuzungusha pedali za baiskeli na akafanikisha azma yake Kwa kuanza na uzalishaji wa magari ya gharama nafuu
Kwa mwaka huzalisha/huunda magari takribani Milioni kumi
Imeajiri watu zaidi ya 560,000
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom