Jimena, mimi nawe tumepitia vipindi vinavyofanana, wale watu wametuacha tukiwa bado tuna wahitaji, najua unahitaji mtu sahihi,
Najua unataka furaha inayozidi
Unahitaji wa kukuita lile jina
Nafsi yako yahitaji changamko
Moyo unatamani kusikia neno tamu.
Wakuyafanya haya ni mimi,
Ninaweza Jimena
Unaweza kunifanya mwenye furaha
Upendo hufunika mapungufu hivyo fujo zako sitafunikwa na mapenzi wala haxitanikwaza
Nakupenda eti Jimena
Nashindwa hata niandikeje
Mikono haina nguvu kwa shauku iliyozidi Jimena.
Malizia Jimena wangu.
Mimi nawe tumeona mengi na yametufunza, kilichobaki ni kushikana na KUPENDANA
I LOVE YOU JIMENA