Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Volkswagen AG
7f74e3c2bfd918776d4ef27406c1ccc7.jpg
d4017a0f10d5bfee0925546c51ac68cc.jpg
b9b50b842a10b2347de246ac189fb8a5.jpg

Ilianzishwa wakati wa utawala wa Kinzi huko Ujerumani
Dikteta Adolf Hitler alitamani kila Mjerumani aendeshe gari na kutambua mjini badala ya kuzungusha pedali za baiskeli na akafanikisha azma yake Kwa kuanza na uzalishaji wa magari ya gharama nafuu
Kwa mwaka huzalisha/huunda magari takribani Milioni kumi
Imeajiri watu zaidi ya 560,000
..........
Hawa Ulaya wanaheshimika sana
 
4/Volkswagen AG
7f74e3c2bfd918776d4ef27406c1ccc7.jpg
d4017a0f10d5bfee0925546c51ac68cc.jpg
b9b50b842a10b2347de246ac189fb8a5.jpg

Ilianzishwa wakati wa utawala wa Kinzi huko Ujerumani
Dikteta Adolf Hitler alitamani kila Mjerumani aendeshe gari na kutambua mjini badala ya kuzungusha pedali za baiskeli na akafanikisha azma yake Kwa kuanza na uzalishaji wa magari ya gharama nafuu
Kwa mwaka huzalisha/huunda magari takribani Milioni kumi
Imeajiri watu zaidi ya 560,000
..........
Kila mbaya na wema hakosi

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
3/Randstad Holding NV
bfcc69d07f184001ffab94c38ef732a3.jpg
c0c6d9df766af18fc3af4001526cdcae.jpg
15de8f2f565b01aeac3da4a282a9e995.jpg
Ni kampuni ya Kiholanzi inayojihusisha zaidi na kutumikisha watu(human resources)
Yaani ni kama ma kampuni ya hapa bongo yanayosambaza watu maofisini ila hii ni ya kimataifa ukiwa na matawi zaidi ya 3000 duniani kote
Anaingiza mkwanja unaofikia USD 23 billion
Imeajiri watu takribani 600,000
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom