Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jimena, Jimenes unajua ni nini!
Nimefungua simu tu nikakutana na post yako;
Kilichotokea moyo umeenda mbio Jimena, nilikosa la kukujibu na imenibidi ninywe maji ya baridi ndipo sasa angalau mapigo yanaenda sawa.
Jimena;
-ulikuwa wapi mpendwa!
-nini kilikusibu?
-nimeuliza uliza kwa rafiki zako
-hadi pacha wako nimempigia
Kila mara nachungulia humu nikuone lakini wapi.

Nimefarijika kukuona hapa
Moyo wangu umejaa
Nafsi yangu imechangamke
Jimena, Jimenes majina yako yalivyo matamu.
Hebu sema neno roho yangu ipone jamani
Nimefurahi kusikia haya...
Maana hata mi nilipoambiwa kuwa kuna ujumbe wangu umeniachia basi nilipatwa na shauku kubwa

Lakini wewe unanijua vizuri nilivyo stubborn sasa kuamua kwako kujilipua kumenishangaza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom