Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Mashemeji. Nilikuwa namwambia Lee. Ananifosi eti nianze kukuita shemeji. Hovyo kabisa !Unakulaga nini msukuma
Mashemeji. Nilikuwa namwambia Lee. Ananifosi eti nianze kukuita shemeji. Hovyo kabisa !Unakulaga nini msukuma
Mamboo..hayo mawazo ujue tetra sio kila mtu ambae yupo porini ni muwindaji au mchoma mkaa
Utawezaji kuzuia watu wasichat mpendwa? Kitakuwa kipengele kizito na fikirishi kidogo na tutaona kitakavyokwenda. Wabeja (asante)Hilo wazo ni zuri, ila hicho kipengele kipewe muda maalumu kila siku. Ili watu wote washiriki kama mada na majadiliano yasiingiliwe na chats zingine. Mjadala ukifungwa ndo chats ziendelee.....
Ni mtazamo wangu lakini
Inaonekana hivyoAnother kuku mgeni ama?
EeeeeeeehHodi hodi hodi hodi hodi
Mimi ni Mgeni napenda kujumuika na nyie humu ndani-Makapuku!
Sema kabla sijaja humu mnaoeneka nyie ni watu ambae mko tofauti sana katika hili jukwaa.
Kwanza,nimegundua kuna couples humu ndani hivyo mnaoneana wivu sana.
Pia, nyie mnapenda likes sana kwa sababu mtu akiweka hata alama ya koma mnalaiki tu.
NOTE: aliyesababisha nije humu ni SAKAYO huyu Dada nampenda sana nimekuwa nikijaribu kufuatilia comments zake nimetambua ni mwanamke kweli (wife material). Sakayo Nipo tayari kwa lolote juu yako lengo langu kubwa niwe na wewe.
Asante mkuu..1/Danyang--Kunshan Grand Bridge![]()
![]()
Limejengwa/limekatiza katika njia treni High speed Railway ya Shangai hadi Beijing huko nchini China
Ni eneo korofi kijiografia
Ndiyo daraja refu zaidi duniani
Lina urefu wa Km 164.8
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
......
I see yo broohngoja kwanza anijibu
Naona anachezea Empire yakoHahaaaa...
Kama ulijua..
Jambo shem
Kivuruge wa shunie upo ?Natambua hilo leo wamekusakama wengiii
Na uzuri mama mchuchu tunakuja na plan B
Mamboo? Be careful now. Inaonekana yule jamaa anayemtaka Sakayo amekupandisha presha mkuu. Mpe muda akiona msimamo wa Mrs ata-give up na kwenda zake...Mamboo..
Kuna mtu anamzingua dada?
Bora umeona hilo shunie!Dada unaitwa kuna mgeni wako
Nadhani baada ya karne moja tutakuwa na la kwetu kutoka Zenji hadi Dar..8/Donghai Bridge![]()
![]()
Ni moja kati ya madaraja ya kuvutia zaidi kujengwa baharini
Linaziunganisha Shanghai na Yangshan
Lina urefu wa Km 32.5
.......
Mzee wa Town..Weka official transfer mkuu hizi tetesi sioni kama ni big deal
Kaja bila brekMamboo? Be careful now. Inaonekana yule jamaa anayemtaka Sakayo amekupandisha presha mkuu. Mpe muda akiona msimamo wa Mrs ata-give up na kwenda zake...
Shukrani mkuu..TWOP TEN
Tanzania tunatambia daraja la Nyerere/Kigamboni
Sasa tuangalie madaraja kumi marefu zaidi duniani
.......
Aniombee kwani nimekuwaje tena?Hahaha, kuna mamchuchu anaombeaga watu asbh na jioni kila siku muone kwa msaada zaidi