Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kiukweli nikiangalia yanayofanyikaga bungeni nikaangalia na jitihada za wenzetu wanavyokimbia katika suala la maendeleo, huwa natamani yale majaribio ya masafa mrefu ya North Korea yaweyanafanyika pale Dom.
Kweli sisi hatuko silias ...

Maneno mengi nakumbuka na ile bajet ilishangiliwa kinomaa yaliyotokea tumeyaonaa
 
2/Tanjin Grand Bridge
d9c5c6e686ea09a64ed9015f3fec1560.jpg
8a5e6a1b94ee1b1fbd8fbf2f16a9bb40.jpg

Ni daraja la reli linaloziunganisha Langfang na Qingxian
Ni njia ya treni ya spidi kutoka Beijing hadi Shanghai....Sisi huku huita SGR
Lina urefu wa Km 113.7
.......
 
Ni segment nzuri, inavutia! Najua kwa sasa itakuwa na cases nyingi za majuu, ila unaweza saka stupid Criminals wa hapa kwetu au Africa ukichanganya itakuwa poa zaidi. Presentation, iko vizuri sema I'll tufaidi lazima uangalie muda wa kuitupia, depending on your time etc.

Wazo la kifalsafa, limekaa POA. Vipi ikiwa hiki kipengele kinakuja once a week let's say weekends? Ni juu yako kuamua
Weekends itakuwa safi. Wazo zuri na nitalifanyia kazi kwa sababu hapa inabidi kusoma kidogo na siyo blah blah...

Criminals wa huku kwetu mmmh. Nitajaribu. Shida ni kuwapata kwa sababu hawawi documented. Asante sana mkuu. I respect you!!!
 
MECHI ILIYOPIGWA MUDA MREFU ZAIDI DUNIANI

Hii ilikua mwaka 1942 fainali ya AMERICAN CUP ENZI HIZO,kati ya ARGENTINA na MAREKANI

kipute kilipgwa dk 90 wanaume wakatoka mbili kwa mbili, zikawekwa 30 wanaume wakamaliza hivo hivo,

refa KOLLAR DE QUISOR akasema twendeni kwenye matuta,kwenye 5 za kwanza wakatoka 4 kwa 4 akawaambia wapige zingine wakatoka 5 kwa 5,basi wakapigiana penalty karibu mia wakatoa sare.Kwa kua walikua wamechoka akawaomba wapumzike wakaenda mapumzko kurudi mambo yakaenda mpaka penalty mia zingne ikawa draw,zikapigwa hamsini zngne ikawa sare na watu njaa zinauma sana,basi bwana KOILLAR akawaambia wakapate msosi kwenye mgawaha wa karibu.Waliporudi ikapigwa penalt mpaka karibu na kesho na watu wakaambiwa laleni uwanjani,asubuhi zikapigwa tena kitu sare na ikawa hivo kwa siku 4 ndipo ikarushwa shilingi bado ikatua imesimama zaid ya mara kumi na 9,refaakawaomba wakate kombe nusu kwa nusu.

Nisipowadanganya Nyie ntamdanganya Nani sasa...?
Kapuku forever .....
 
MECHI ILIYOPIGWA MUDA MREFU ZAIDI DUNIANI

Hii ilikua mwaka 1942 fainali ya AMERICAN CUP ENZI HIZO,kati ya ARGENTINA na MAREKANI

kipute kilipgwa dk 90 wanaume wakatoka mbili kwa mbili, zikawekwa 30 wanaume wakamaliza hivo hivo,

refa KOLLAR DE QUISOR akasema twendeni kwenye matuta,kwenye 5 za kwanza wakatoka 4 kwa 4 akawaambia wapige zingine wakatoka 5 kwa 5,basi wakapigiana penalty karibu mia wakatoa sare.Kwa kua walikua wamechoka akawaomba wapumzike wakaenda mapumzko kurudi mambo yakaenda mpaka penalty mia zingne ikawa draw,zikapigwa hamsini zngne ikawa sare na watu njaa zinauma sana,basi bwana KOILLAR akawaambia wakapate msosi kwenye mgawaha wa karibu.Waliporudi ikapigwa penalt mpaka karibu na kesho na watu wakaambiwa laleni uwanjani,asubuhi zikapigwa tena kitu sare na ikawa hivo kwa siku 4 ndipo ikarushwa shilingi bado ikatua imesimama zaid ya mara kumi na 9,refaakawaomba wakate kombe nusu kwa nusu.

Nisipowadanganya Nyie ntamdanganya Nani sasa...?
Kapuku forever .....
 
MECHI ILIYOPIGWA MUDA MREFU ZAIDI DUNIANI

Hii ilikua mwaka 1942 fainali ya AMERICAN CUP ENZI HIZO,kati ya ARGENTINA na MAREKANI

kipute kilipgwa dk 90 wanaume wakatoka mbili kwa mbili, zikawekwa 30 wanaume wakamaliza hivo hivo,

refa KOLLAR DE QUISOR akasema twendeni kwenye matuta,kwenye 5 za kwanza wakatoka 4 kwa 4 akawaambia wapige zingine wakatoka 5 kwa 5,basi wakapigiana penalty karibu mia wakatoa sare.Kwa kua walikua wamechoka akawaomba wapumzike wakaenda mapumzko kurudi mambo yakaenda mpaka penalty mia zingne ikawa draw,zikapigwa hamsini zngne ikawa sare na watu njaa zinauma sana,basi bwana KOILLAR akawaambia wakapate msosi kwenye mgawaha wa karibu.Waliporudi ikapigwa penalt mpaka karibu na kesho na watu wakaambiwa laleni uwanjani,asubuhi zikapigwa tena kitu sare na ikawa hivo kwa siku 4 ndipo ikarushwa shilingi bado ikatua imesimama zaid ya mara kumi na 9,refaakawaomba wakate kombe nusu kwa nusu.

Nisipowadanganya Nyie ntamdanganya Nani sasa...?
Kapuku forever .....
Hatudanganyiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom